Jamani wandugu mimi nina banda tena kubwa tu la kutosha kuku 500 na zaidi but kinachonisumbua ni mtaji nipo maeneo ya tabata chang'ombe naomba kama kuna mwenye kujua wapi naweza kopa vifaranga plz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kila siku emmanueli tv wanarudia juu ya utabiri wa TB JOSHUA kwamba korea ya kaskazini sio wa kuwazarau wana silaha kali ambazo dunia haijui na kwamba huenda akazitumia na kama wakizitumia basi inaweza kuithiri dunia au sehemu ya dunia so kaomba watu waombe sana kwa ajili ya hilo lisije...
Mama kapewa ile kwenye gazeti wanaita front page sasa yeye kapewa front chair akiwa kama first lady mtarajiwa THE MAN OF GOD KNOWS WHO IS SHE ndo maana kampa kiti cha heshima GOD Bless her and our president mtarajiwa LOWASA.
Dawa ni maji only hivyo vingine ni kupoteza hela tu mm mwenyewe nilikua nayo tena sugu kila mara haupiti mwez naumwa nilipo kuja pata ushauri wa kunywa maji ndo sijaisikia tena mpaka leo
Kunywa lita 1.5 asubuh unapotoka kuamka then lita 1 mchana by saa 6 or 7 na jioni kwenye saa 12 au 11...
Hata kipindi cha YESU wapo walomwelewa YESU na wapo ambao hawakumwelewa japo alifanya ishara kibao na mpaka wakaamua kumsulubisha na kuna wanosoma wakaelewa na kuna wanaosoma na wakaambulia patupu so jitazame uko kundi gani.
Je kama kweli ulihitaji kujua ukweli baada ya kuona kakosea utabir wake je ulimfuatilia tena kujua anachosema au mnahukumu kwa kisikiliza maneno ya uongo mitaani ya wenye chuki zao binafsi.
Mfuatilien mbona alilifafanua vizur sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.