Mbona sioni huo mpira wa viwango wa Petros de Luanda na TP Mazembe? Wana cheza tU kama mechi ya kirafiki. Yanga na Simba zikiwekeza vizuri kwenye wachezaji wa viwango na uongozi ni miongoni mwa timu bora kabisa hapa Afrika. Hawa mnaowasifia ni timu za kawaida sana kwa sasa.
Kama uliangalia mipira ya Tz ya miaka ya 80-90 sikushangai kutoa comment kenge namna hii. Kwamba Al ahly walizidiwa na Simba hiii[emoji23][emoji23][emoji23]
Mleta Uzi wewe ni Makolokocho SC wala siyo mwana Young Africans. Pamoja na vigagula vyenu jana mimba aliyowapa Al ahly iligoma kutoka.
Yanga hatuna mambo ya kishirikina kwenye football. Uchawi wa Yanga upo kwenye vipaji tu. Timu imesheheni vijana wenye vipaji na weledi na siyo kama nyie timu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.