Baada ya mechi za msimu kumalizika yanga inabidi ifanye usajili wenye tija. Wachezaji wengi wameizoa timu na wanacheza kwa mazoea sana. Ubunifu na kujituma vimepungua sana kwa wachezji wengi wa Yanga. Pia kuna wachezaji mizigo hasa hawa waliosajiliwa hvi karibuni kama Depu na Damaro.
Amri ya vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania kuua watanganyika ilitoka kwa nani kama siyo kwa amiri jeshi mkuu? Na mpaka huyo amiri jeshi mkuu anatoa hiyo amri hakuwa na hizo taarifa za kutosha hadi sasa aunde tume? Tangu lini muuaji akaunda tume ya kuchunguza chanzo cha mauaji aliyoyafanya...
Kwa mtanganyika kuwabeza CIA ni matumizi mabaya ya akili. Wanaobeza wanadhani CIA lazima awe mmarekani aje aishi Tanganyika ndio apate taarifa. Kwa taarifa tu ni kwamba kuna CIA Agents wengi tu hapa Tanganyika tangu nchi ilipopata uhuru na Serikalini wapo kibao usijeshangaa hadi makamu wa sasa...
Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Kuna watu wengi sana hapa duniani wanafanya kazi au biashara kwa bidii na maarifa na nidhamu ya fedha ya juu lakini hawajatoboa na wengine uzeeka na kufa bila mafanikio makubwa sana. Ingekuwa ni rahisi tu kufanikiwa kwa kufanya hvyo vitu simpo mnavyosema humu tungekuwa na matajiri wengi sana...
Kwa nchi yetu hii hili suala ni gumu sana kutekelezeka. Japo kisiasa wanaoliona ni rahisi na ndio maana wamekuja na maono ya ELIMU YA AMALI (ambayo ndio unayoisema hapa) lakini kiuhalisia ni ngumu sana.
Mi naona ni bora waongeze vyuo vya technical na VETA na waviwezesha karakana na mashine/zana...
Tangu lini snipers wakaonekana. Sema ni kwa vile town lakini ingekuwa huko bush polisi wanatupa bunduki zao na kukimbia kokoa maisha yao.
KAULIZE HUKO TARIME WALICHOFANYIWA POLISI WENU WALIPOPELEKWA KUZIMA VURUGU HUKO TARIME. WALITUPA BUNDUKI NA KUKIMBIA.
Upupu uliojaa vumbi. Kumpa huyu uwaziri mkuu ni kuliabisha taifa la Tanzania maana anajulikana toka kitambo kwamba hazimtoshi. Tunajua amewekwa kenye hiyo nafasi si kwa sababu ana uwezo kiutendaji bali kuwarahisishia mabwana zake uporaji wa rasilimali za nchi kwa raha zao. KWANZA SERIKALI YAO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.