Recent content by Wang Yi

  1. Wang Yi

    Miradi yote mikubwa iliyoanzishwa kwa pupa na Hayati Magufuli sioni hata mmoja utakaokuwa na ufanisi

    Lack of vision and exposure will eliminate you naturally!
  2. Wang Yi

    FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

    HVI NDIVYO WAARABU WALI VYOSHEREHEKEA JANA DAKIKA 5 TU BAADA YA MECHI YA SIMBA NA AL AHLY KUANZA
  3. Wang Yi

    Hata Yanga Mkifanya Mchezo, kesho mnapasuka, no joke

    Mbona sioni huo mpira wa viwango wa Petros de Luanda na TP Mazembe? Wana cheza tU kama mechi ya kirafiki. Yanga na Simba zikiwekeza vizuri kwenye wachezaji wa viwango na uongozi ni miongoni mwa timu bora kabisa hapa Afrika. Hawa mnaowasifia ni timu za kawaida sana kwa sasa.
  4. Wang Yi

    Hata Yanga Mkifanya Mchezo, kesho mnapasuka, no joke

    Kama uliangalia mipira ya Tz ya miaka ya 80-90 sikushangai kutoa comment kenge namna hii. Kwamba Al ahly walizidiwa na Simba hiii[emoji23][emoji23][emoji23]
  5. Wang Yi

    Wajuzi wa mpira, nini sababu ya Simba kufungwa na Al Ahly?

    WAPENDWA ITOSHE TU KUSEMA MIMBA IMEGOMA KUTOKA NA MWENDO TUMEUMALIZA[emoji3][emoji3]
  6. Wang Yi

    Hivi ndivo Yanga sc atakavyomuua Mamelod leo

    Mleta Uzi wewe ni Makolokocho SC wala siyo mwana Young Africans. Pamoja na vigagula vyenu jana mimba aliyowapa Al ahly iligoma kutoka. Yanga hatuna mambo ya kishirikina kwenye football. Uchawi wa Yanga upo kwenye vipaji tu. Timu imesheheni vijana wenye vipaji na weledi na siyo kama nyie timu...
  7. Wang Yi

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    Misri wanakwenda kukalia soseji TU.[emoji3][emoji3][emoji3]
  8. Wang Yi

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    TUMEIZOEA AL AHLY. PAMOJA NA AL AHLY KUTUACHIA GAME TUCHEZE LAKINI MWENDO TIMEUMALIZA.
  9. Wang Yi

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    Sajilini wachezaji vijana. Timu imejaa wastaafu. Anatoka mstaafu anaingia mstaafu.[emoji3][emoji3]
  10. Wang Yi

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    Hvi hawa Simba wameambiwa kufunga mpaka upige mpira wa juu? Maana naona wanashindana kupaisha mipira TU.
  11. Wang Yi

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    Mimba ya mwarabu imegoma kutoka[emoji3][emoji3]
  12. Wang Yi

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    Waarabu wamechoka kwa kazi ipi? Hapo wanawaachia tu mjichoshe wakilianzisha lazima mpasike zingine mbili.
  13. Wang Yi

    FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

    FULL TIME: HOME: Simba 1 - AWAY: Al ahly 3
Back
Top Bottom