Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Bado nchi hii tunahangaika na uzoaji wa takataka tu mpaka leo? Sisi waafrika aliyetuloga alituweza maana uwezo wetu wa kutatua changamoto ndogo kiasi hicho bado ni tatizo la jamii katika karne ya 21. Bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo ya kweli.
Kuna watu wengi sana hapa duniani wanafanya kazi au biashara kwa bidii na maarifa na nidhamu ya fedha ya juu lakini hawajatoboa na wengine uzeeka na kufa bila mafanikio makubwa sana. Ingekuwa ni rahisi tu kufanikiwa kwa kufanya hvyo vitu simpo mnavyosema humu tungekuwa na matajiri wengi sana...
Kwa nchi yetu hii hili suala ni gumu sana kutekelezeka. Japo kisiasa wanaoliona ni rahisi na ndio maana wamekuja na maono ya ELIMU YA AMALI (ambayo ndio unayoisema hapa) lakini kiuhalisia ni ngumu sana.
Mi naona ni bora waongeze vyuo vya technical na VETA na waviwezesha karakana na mashine/zana...
Tangu lini snipers wakaonekana. Sema ni kwa vile town lakini ingekuwa huko bush polisi wanatupa bunduki zao na kukimbia kokoa maisha yao.
KAULIZE HUKO TARIME WALICHOFANYIWA POLISI WENU WALIPOPELEKWA KUZIMA VURUGU HUKO TARIME. WALITUPA BUNDUKI NA KUKIMBIA.
Upupu uliojaa vumbi. Kumpa huyu uwaziri mkuu ni kuliabisha taifa la Tanzania maana anajulikana toka kitambo kwamba hazimtoshi. Tunajua amewekwa kenye hiyo nafasi si kwa sababu ana uwezo kiutendaji bali kuwarahisishia mabwana zake uporaji wa rasilimali za nchi kwa raha zao. KWANZA SERIKALI YAO...
Tunahitaji Pinde na mishale ya kutosha siku ya D9. Tuwe na masnipper wa pinde na mishale ili hawa polisiccm wakikinukisha tunaanze nao. Akigeuka anakula nchale, akikimbia nchale na akisimama nchale. Na pia kupiga petrol vibanda vyao ili wakalale na familia zao kazini kwao.
UTEKAJI ULIANZIA KWA KIKWETE LABDA KAMA MLIKUWA HAJAZALIWA. DR. ULIMBOKA ALITEKWA NA KUPIGWA NA KUTUPWA MSITU WA MABWEPANDE WAKATI WA MAGUFULI? SEMA WAKATI WA JAKAYA MATUKIO YA UTEKAJI HAYAKUWA MENGI ILA YEYE NDIYE MWANZILISHI NA HATA MAGUFULI YAWEZEKANA ALIJIFUNZA KUTOKA KWA MTANGULIZI WAKE...
Ga
Gazeti kubwa ila limejaa pumba mwanzo mwisho. Kuna rais mstaafu hayati Mwinyi (muislam), kuna Kikwete Muislam hao wote walishindwa kukuletea hiyo mahakama ya kadhi na hiyo OIC yako si walakuwa na mamalaka kama maraisi walishindwa nini hadi ulaumu ukristo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.