Swala no kwenda kupiga kura tunakaa ndani wanaenda wao Kisha nchi marafiki wanaotoa misaada wataingikia kati maana watanzania na polisi maskini hawawezi kufanya kitu
Pumbavu Tena na Tena hujui maumivu ya watu wewe kungekuwa na wadhamini wa mtutu hapa Tanzania Leo hisigekuwa hivi. Nawajua unaowatetea na nimeishi nao na kula nao zaidi ya miaka 30 kuanzia huyo kikwete na huyo Rostam,kaa kimya ni swala la Muda tu
Ungemsikiliza Polepole vizuri ungemwelewa mfumo hauna shida shida ipo kwa wanaoushika sasa,maana SMG ni silaha Haina shinda kama matumizi na mtumishi kichwa kimetulia lakini akishika kichaa hapo ndio shida inapoanza.
Ukitaka kujua upumbavu na ujinga wa Mpoto muulize Mgunga wa myeyelwa (atanisamehe kama nimetaja jina lake vibaya) maana ndio watu waliomlea huyo mpumbavu na mjinga.
Mkubwa mkubwa mkubwa nchi za ulaya Kuna majambazi walisamehewa kifungo au kupunguziwa miaka ya kifungo kwa sababu ya kukili makosa Yao na kukubali kushirikiana na Police.
Kuwa jambazi haizuii wewe siku Moja kutibu na kuwataja majambazi wenzako na ndio maana amesema kuwa anaomba msamaha kwa watanzania na pili mfumo huo ni mzuri kwa watu wazuri na ni mbaya kwa watu wenye Nia ovu,sio kila mtu anaruhusiwa kuwa na silaha za kivita mpaka uwe umepitia mafunzo na Bado...
Lakini Korea Kuna maendeleo makubwa sana Tena sana huwezi kufananisha na Tanzania viongozi wao pamoja na kuwa madikteta ila wanalwta maendeleo makubwa sana angalia uchumi wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.