Recent content by Wamusoma

  1. Wamusoma

    Kauli ya kisasi ya JK yaibua mapya; Baregu asema JK ageuke na kuomba radhi na hila dhidi ya SALIM

    mh! mbona JK unajikamata mwenyewe ! ama ndo kusema unajikinga ! aaahhhh! kweli ndu jikinge kabla hawajakufikria !
  2. Wamusoma

    Prof. Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu Zitto

    Hahhhhh! siasa ya bongo bwana bora ukamlamba mbwa machozi!
  3. Wamusoma

    Yaliyojiri: Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari - Nov 26, 2013

    Hakuna lolote za kusema kuwa zitto kajitungia! toeeni maelekezo ya kina! LISSU angalia sana kwamaana watanzania wanania moja nawe sasa usionyeshe majungu na kumponda mwenzako wewe ni mtu makini sana hivyo angalia umakini wako usijeukatoweka kwa ushabiki wa mbowe! kwanini huyo mbowe anataka...
  4. Wamusoma

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Binafsi napenda kumpongeza sana tena sana mh Zitto kwa kauli zake zenye Hekina na Busara ! Huu ndo uongozi na umakini unatakiwa kwa kila kiongozi mwenye maadili ya utumishi wa umma! Taarifa yake nzuri sana hivyo kuwa mtu mwenye subra huizi ni changamotto tu cha wachache wanaotaka kuvuluga chama!
  5. Wamusoma

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Haahh! mageuzi na siasa uchwara ndizo zinzolenga kuimaliza chadema! kweli hatutaweza kupata mabadiliko kwa stlye hii ya kina Zitto!
  6. Wamusoma

    JERRY SILAA: Meya wa Ilala asiye na mission wala coherent vision

    Ni jambo la kushangaza sana kama unaona watanzania wanazidi kushabikia maovu ya viongozi badala kuwa kitu kimoja na kuweza kutengeneza agenda ya kuweza kutatua na kuwaondoa wabovu wanaosababisha nchini hii na raia wake kuitwa masikini!
  7. Wamusoma

    Spika agoma kutaja watakaochangia mswada jioni leo kwa hofu ya utoro wa wabunge

    Tunapata hasara kubwa sana ! kuwa na watu wa aina hii jamani majanga haya! 2015 tuyaepuke!
  8. Wamusoma

    Zitto kuendelea na Ziara ya Ujenzi wa Chama Kanda ya Magharibi tarehe 09/11/2013

    Siku zote tunaambiwa kuwa kiongozi makini na anaye jali anaoongoza lazima ajue na atambue wajibu wake katika jamii! hivyo kweli kabisa kaka Zitto ni mmoja klati ya viongozi walio makini na wanaotambua wajibu wao katika jamii wanayoiongoza! mimi nakutakia kila la kheli katika ziara yako izae...
  9. Wamusoma

    Zitto Kabwe: Say NO to Posho

    Swala la posho ni swala ambalo kwa mtu makini ambaye anajua anachokifanya as Zitto huwezi kushabikia kwamaana unatambua kuwa uko kwaajili ya uwakilishi wa wananchi na sio wa taifa lingine bali taifa lako nawe ni mzawa wa taifa hilo !, na si jambo jema la kupokea posho kwa kazi unayofanya wakati...
  10. Wamusoma

    January Makamba: Natafakari kuwania urais 2015

    hhhahahahahahahah! ni bora ukawania tu huo ubunge kwamaana ukiwaza hivyo umepotea!
  11. Wamusoma

    January Makamba: Natafakari kuwania urais 2015

    usitegemee kabisa katika tanzania ya sasa kwako wewe January kwamba unatufaa kuwa raisi ni majanga kwa maana wewe ni mtoto wa waasisi wa mafisadi
Back
Top Bottom