Recent content by Wambura Koku Massawe

  1. Wambura Koku Massawe

    Kisutu: Aliyewahi kugombea Ubunge kupitia ACT-Wazalendo ahukumiwa miaka 6 jela

    CCM unahusikaje na jinai za individuals, awamu sio ya mazoea provided umetiwa hatiani haijalishi chama unapewa haki yako ya kisheria
  2. Wambura Koku Massawe

    New Africa yabadili jina kwenda Four Point by Sheraton. Mwekezaji kalipa au yale yale ya kubadili majina kukwepa kodi?

    Comments na heading haviendani, nimeshindwa niweke post ipi itakayokusaidia kuelewa haya mambo ya majina ya makumpuni/biashara kubadilika
  3. Wambura Koku Massawe

    Je, ni kweli kwenye mbuga ya Selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua?

    Ni kweli kwamba kwa radar moja iliyopo hatuna uwezo wa kuona anga lote kwa njia ya ‘’radar’’. Radar inasaisaidia pamoja na mambo mengine kuona objects zikiwa bado ziko mbali sana, kusaidia kuwe na muda na space ndo kati ya ndege na ndege na mambo mengine ya kisasa ofcourse. Lkn haimanishi pasipo...
  4. Wambura Koku Massawe

    Rais Magufuli anatupeleka kwenye Uchumi imara na Nchi ya kujitegemea

    Usimamizi wake wa mambo mi unanikosha sana, In JPM I trust. Mapungufu mengine ni kama binadamu mwingine
  5. Wambura Koku Massawe

    Watumishi kwani Huyu Magufuli tulimkosea wapi..!??

    Naomba niwe tofauti na watumishi wengi, ni ngumu kumeza lkn tuwe wakweli na kama mwenye data atusaidiae. Kwa miradi mikubwa inayofanywa na kwa kiwango cha upungufu wa hela za wahisani sioni ni wapi JPM tunataka apate pesa za mishahara. Mradi wa Stiglers gorge ni 6-7T sio B, ndege za ATCL, ujenzi...
  6. Wambura Koku Massawe

    Je, ni kweli kwenye mbuga ya Selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua?

    Hata kama tunapenda kusikia mabaya ili tuamini utendaji wa mtu lkn ni muhimu akili yetu ifanye kazi kidogo. International Airports hapa TZ sio JNIA tu, Ipoh KIA na Zanzibar pia. Ndege kuruka kwenye anga la nchi bila kibali si jambo jepesi kihivyo, kuna hatari kubwa mbili za kiusalama (safety and...
  7. Wambura Koku Massawe

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Ulipata mtu wa kupartner nae mi nafuga tayari njoo tupanuane mawazo
  8. Wambura Koku Massawe

    Kusema kweli dunia ya sasa hivi mtu ukitaka kuoa, inakupasa ujitoe sana akili. Yaani uwe zuzu!

    Mawazo dhaifu sana, nimeoa na ninaye mwaka wa tisa sasa na ndo iko bomba sana. Tatizo vijana (kike na kiume) hawana skills za ndoa (human behavior). Dunia imechukulia ndo kama kitu simple, ndo inahitaji vijana wewe na right skills. Kama hauenjoy ndoa yako, jua wewe na mwenza wako hamna right...
  9. Wambura Koku Massawe

    Kusema kweli dunia ya sasa hivi mtu ukitaka kuoa, inakupasa ujitoe sana akili. Yaani uwe zuzu!

    Angalia waliokuzunguka ni watu wenye mtizamo gani, ndoa ni kitu kizuri tatizo huna ushauri na mtizamo sahihi.
  10. Wambura Koku Massawe

    Kusema kweli dunia ya sasa hivi mtu ukitaka kuoa, inakupasa ujitoe sana akili. Yaani uwe zuzu!

    Hilo ni tatizo lako na mtazamo wako, wapo wanawake na wanaume wengi wanaheshimu ndo zao. Wenye matatizo ndo mnakuja kupiga kelele humu na kudanganyana
  11. Wambura Koku Massawe

    Dhana ya kutokula nyama siku ya Ijumaa Kuu kwa wakristo ni imani potofu

    Wakristo wapi maana sie kwa dhehebu letu kula nyama au kutokula any day haina issue. Labda ungesema wakristo wa madhehebu ya kikatoliki na kiprotestant (Lutherani, Anglican etc )
Back
Top Bottom