Je, ni kweli kwenye mbuga ya Selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua?

Escrowseal1

JF-Expert Member
Dec 17, 2014
4,428
4,219
Swali langu linatokana na mshangao wa Raisi wetu wakati wa ufunguzi wa mradi wa umeme. Mimi ni muuliza swali huru na kwa kuwa ni mwananchi wa kawaida naweza kuwa nawakilisha wengi wenye swali linalofanana.

Mimi mwananchi nataka kujua je ni kweli na inawezekana kwenye mbuga ya selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua? How possible?

Ni ukweli waziri wa maliasili wala wa fedha hajui mapato ya wawekezaji waliojichimbia kwenye hifadhi yetu?

Kama ni kweli tunakwama wapi kama nchi maana dunia nzima sina uhakika kuna nchi ndege zinaweza tua na kuondoka bila mamlaka kujua.
 
Ni hisia tu. Haya yeye mwenyewe alitumia neno sina uhakika kama... Kimsingi Hotel zote ndani ya mapori yote siyo selous tu, zinalipa kodi kama Biashara nyingine zinavyolipa kodi. Anayechaji chumba elfu 60, anaweka VAT 18%, na anayechaji $3000 VAT ni ile ile 18%.

Na hizi bei huwa siyo standard..inategemea wewe nina na bargaining yako. Kwenye hiyo hiyo hotel kuna mwingine anaweza kulala kwa $500.

Na mara nyingi wakakugi wa TRA wanapita kuangalia mapato. Ni biashara ambayo iko wazi tu.

Kuhusu ndege ni kwamba ndege yoyote ambayo inaingia au kutoka nchini ni lazima kwanza itue kwenye international airport. Wakati wa kuingia itatua Dar kwanza, then itaenda Solous, wakati wa kuondoka itarudi dar then inaondoka.

Mamlaka zote husika zinakuwa na taarifa na zinatoa vibali husika. Kumbuka kuna radar ambayo mamlaka ya ndege wanazitumia kuangalia anga na ndege zinazopita.
 
Ni hisia tu. Haya yeye mwenyewe alitumia neno sina uhakika kama... Kimsingi Hotel zote ndani ya mapori yote siyo selous tu, zinalipa kodi kama Biashara nyingine zinavyolipa kodi. Anayechaji chumba elfu 60, anaweka VAT 18%, na anayechaji $3000 VAT ni ile ile 18%.

Na hizi bei huwa siyo standard..inategemea wewe nina na bargaining yako. Kwenye hiyo hiyo hotel kuna mwingine anaweza kulala kwa $500.

Na mara nyingi wakakugi wa TRA wanapita kuangalia mapato. Ni biashara ambayo iko wazi tu.

Kuhusu ndege ni kwamba ndege yoyote ambayo inaingia au kutoka nchini ni lazima kwanza itue kwenye international airport. Wakati wa kuingia itatua Dar kwanza, then itaenda Solous, wakati wa kuondoka itarudi dar then inaondoka.

Mamlaka zote husika zinakuwa na taarifa na zinatoa vibali husika. Kumbuka kuna radar ambayo mamlaka ya ndege wanazitumia kuangalia anga na ndege zinazopita.
Akitua Dar halaf akaenda polin na akatoka polini na mzigo akaenda alikotoka bila kupitia Dar halafu akarudi Dar kwa maelezo kuwa ndo anatoka polini, mamlaka zitajua kweli??
 
Hamna iliposemwa kuwa kuna ndege ya nje ambayo inatua bila mamlaka kujua. Kwanza kwa viwanja gani. Hatahivyo upo uwezekano wa watu kuja na Ndege binafsi au za abiria kihalali kabisa Dar au Kia na kukodi ndege ndogo kwenda kwenye viwanja vidogo vya mbugani. Na uwindaji unaofanywa ni halali kabisa kwenye vitalu ndani ya game reserves lakini una maslahi madogo kwa taifa. Hoja ya Rais ni kupunguza ukubwa wa Game reserves unakofanyika uwindaji na kuongeza National Parks ambayo itakuwa ni ya kuangalia wanyama tu.
 
Swali langu linatokana na mshangao wa Raisi wetu wakati wa ufunguzi wa mradi wa umeme. Mimi ni muuliza swali huru na kwa kuwa ni mwananchi wa kawaida naweza kuwa nawakilisha wengi wenye swali linalofanana.

Mimi mwananchi nataka kujua je ni kweli na inawezekana kwenye mbuga ya selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua? How possible?

Ni ukweli waziri wa maliasili wala wa fedha hajui mapato ya wawekezaji waliojichimbia kwenye hifadhi yetu?

Kama ni kweli tunakwama wapi kama nchi maana dunia nzima sina uhakika kuna nchi ndege zinaweza tua na kuondoka bila mamlaka kujua.
Hakuna ndege inayoweza kuruka kwenye anga la Tanzania bila mamlaka za Tanzania kuwaruhusu,Yale ni matango pori aliyokuwa anawalisha wale wanaoitwa wanyonge ili wamuone ni jembe na anauchungu na nchi.Otherwise ilikuwa upumbavu kama upumbavu mwengine
 
Ni hisia tu. Haya yeye mwenyewe alitumia neno sina uhakika kama... Kimsingi Hotel zote ndani ya mapori yote siyo selous tu, zinalipa kodi kama Biashara nyingine zinavyolipa kodi. Anayechaji chumba elfu 60, anaweka VAT 18%, na anayechaji $3000 VAT ni ile ile 18%.

Na hizi bei huwa siyo standard..inategemea wewe nina na bargaining yako. Kwenye hiyo hiyo hotel kuna mwingine anaweza kulala kwa $500.

Na mara nyingi wakakugi wa TRA wanapita kuangalia mapato. Ni biashara ambayo iko wazi tu.

Kuhusu ndege ni kwamba ndege yoyote ambayo inaingia au kutoka nchini ni lazima kwanza itue kwenye international airport. Wakati wa kuingia itatua Dar kwanza, then itaenda Solous, wakati wa kuondoka itarudi dar then inaondoka.

Mamlaka zote husika zinakuwa na taarifa na zinatoa vibali husika. Kumbuka kuna radar ambayo mamlaka ya ndege wanazitumia kuangalia anga na ndege zinazopita.
Sina hakika kua ndege zote zinazo ondoka nchini kua zinapita kwanza JKNIA,ingekua ivo basi kusingekua na malalamiko chungu nzima kua madini yetu yanaibiwa au yanatoroshwa kupitia viwanja vya ndege vilivyoko kwenye machimbo au twiga wasingetoroshwa
 
Sina hakika kua ndege zote zinazo ondoka nchini kua zinapita kwanza JKNIA,ingekua ivo basi kusingekua na malalamiko chungu nzima kua madini yetu yanaibiwa au yanatoroshwa kupitia viwanja vya ndege vilivyoko kwenye machimbo au twiga wasingetoroshwa
Hata kama tunapenda kusikia mabaya ili tuamini utendaji wa mtu lkn ni muhimu akili yetu ifanye kazi kidogo. International Airports hapa TZ sio JNIA tu, Ipoh KIA na Zanzibar pia.
Ndege kuruka kwenye anga la nchi bila kibali si jambo jepesi kihivyo, kuna hatari kubwa mbili za kiusalama (safety and security), ukiruka bila clearence ya mamlaka husika unaweza kugogangana vitu vingine, kama ndege zingine zinazotumia hilo anga au mazoezi ya kijeshi.
Lkn ukitua bila kuruhusiwa, nani atakuruhusu kupaa!? Si utakamatwa hapo hapo!
Lkn hatari ya pili ni kudunguliwa na walinzi wa mipaka ya nchi maana unaweza tafsiriwa kama mvamizi.
Si sisemi kwamba hakuna matukio ya kihalifu lkn ya kutua na kuondoka bila taarifa kwa mamlaka lkn hayawezi kuwa ya kujirudia rudia.

Kutoroshwa kunako ongelewa ni wa kuunderdeclare au kumiss declare ambako kunasababishwa na rushwa, ujinga etc na sio kwamba ndege inatua mgodini au mbugani na kuondoka bila nchi kujua.
Kuhusu swala la radar, subiri siku no 1 akiwa anazindua radar 4 mpya ndo mtajua zaidi radar coverage ya sasa ni kiasi gani
 
ndugu rais anajua mno anachokiongea na mara nyingi anapoongelea ishu kama hizo jua kuwa wazee wa suti walishampa full details na ushahid juu,inshort anaelewa kila kitu hata hii tumbua tumbua anatumbua kwa kuwa na uhakika na anajua kabisa tarehe fulani ntatumbua fulani list yote anayo its just the matter of time
 
Kwani ungemuelimisha kidogo tu ungepungukiwa Nini? Sio lazima mtu ajue kila kitu hata wewe nauhakika Kuna mambo mengi tu huyajui kwahiyo tukuite poyoyo?
Q watanzania mapoyoyo kama we we in wengi mno ndiyo maana hata mkubwa akijamba mnapiga makofi
 
Akitua Dar halaf akaenda polin na akatoka polini na mzigo akaenda alikotoka bila kupitia Dar halafu akarudi Dar kwa maelezo kuwa ndo anatoka polini, mamlaka zitajua kweli??
Polin ndo wapi wewe punguani..rudi shule
 
Swali langu linatokana na mshangao wa Raisi wetu wakati wa ufunguzi wa mradi wa umeme. Mimi ni muuliza swali huru na kwa kuwa ni mwananchi wa kawaida naweza kuwa nawakilisha wengi wenye swali linalofanana.

Mimi mwananchi nataka kujua je ni kweli na inawezekana kwenye mbuga ya selous kuna ndege zinatua na kuondoka bila mamlaka na security ya nchi kujua? How possible?

Ni ukweli waziri wa maliasili wala wa fedha hajui mapato ya wawekezaji waliojichimbia kwenye hifadhi yetu?

Kama ni kweli tunakwama wapi kama nchi maana dunia nzima sina uhakika kuna nchi ndege zinaweza tua na kuondoka bila mamlaka kujua.
Nchi hii sasa hivi mdogo wangu tunaongozwa kwa mihemko! Ni upumbavu wa kiwango cha lami kutuaminisha hivyo! Where is our 3.9 trillion? Kwa mtazamo wake naye eti anajiona ni Kiongozi bora!
 
Back
Top Bottom