mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana jf.
Nadhani New Africa ni hotel yenye ubia na serikali. Hivi majuzi imebadili jina na kufanyiwa renovation kubwa . najiuliza haya mabadiliko sikuwahi kuyaona kwenye gazeti lolote yakitangazwa. Pia kujua shea zetu zipo ngapi na faida gani tunapata? Mahotel mengi ya serikali yalibinafsishwa lakini yamegeuka magofu . mengine yakiendesha biashara yao kimya kimya kama vile bahari beach. Haya mahotel Rais wetu ayachunguze uenda tunapoteza pesa kama tiliyokuwa tunapoteza kipindi cha celtel kwenda airtel bhart.
Nadhani New Africa ni hotel yenye ubia na serikali. Hivi majuzi imebadili jina na kufanyiwa renovation kubwa . najiuliza haya mabadiliko sikuwahi kuyaona kwenye gazeti lolote yakitangazwa. Pia kujua shea zetu zipo ngapi na faida gani tunapata? Mahotel mengi ya serikali yalibinafsishwa lakini yamegeuka magofu . mengine yakiendesha biashara yao kimya kimya kama vile bahari beach. Haya mahotel Rais wetu ayachunguze uenda tunapoteza pesa kama tiliyokuwa tunapoteza kipindi cha celtel kwenda airtel bhart.