Kwa nini alikubali na kuahidi kufika? Tuache kutoa defends za kinafiki na kisiasa. Kumbuka Sugu alipata ubunge pale kwa kuwa wananchi hasa vijana walala hoi walichoka na CCM na si kwamba walimpenda sana. Hata wewe na hizo akili zako ulikuwa na chance kubwa kama ungegombea against CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.