Hahahahaha kiongozi ni shida bao moja tu unawaza huyu nimpe 30 kweli nilishawahi kuacha jeans gesti niliona jeans ilishaisha demu nimemuhaidi 40 nikasema ngoja nikachukue maji nje nikavaa pensi na siglendi ndio ikawa mazima kesho yake nikanunua jeans 25 tshirt 15
samahani wadau naomba kuuliza mtu akisoma BACHELOR DEGREE OF ACCOUNTING NA BACHELOR DEGREE OF BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING kuna gepu kubwa baina ya hawa watu wawili
Cha kwanza ni kujua Bank anayotaka kukopa inatoa mkopo kwa asilimia ngapi?
Mfano Bank x inatoa mkopo kwa asilimia 12%
Mimi nachukua milioni 40 mshahara wangu milioni 2,000,0000/= mda wa mkopo miaka 5
Malipo kwa mwezi
889,777.91/=
Faida itakayochukuliwa na benk
13,386,674.44/=
Kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.