Spika nae si yuko huko vipi alisahau kwenda na rungu lake awathibiti wabunge dhaifu wa binge lake dhaifu? Afadhali hili limetokea mbele take tunasubiri hatua atakayochukua.
Mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa kwenye balozi za marekani Dar na Nairobi vifo na majeruhi wengi walikuwa Watz na Wakenya. Tumia akili hata kidogo tu kama unazo, Watz hapo Dar ni wengi kuliko Wamarekani kwa hiyo more vulnerable kuadhirika.
Hiyo kasi inayosemwa kila Mara ni ile kama ya mzee kobe anapotumbukia shimoni kujificha na adui? Ni kinyonga wa kijani tu ndo anaona hiyo kasi. Wengine wanaona ni kasi ya kurudi nyuma kwa adui!
Kwa sababu umesoma miaka 3 kwa lugha hiyo ukapata Bachelor's, miwili Masters na miwili PhD ukiacha Secondary na High School. Miaka yote hiyo bado lugha ipige chenga? Kuna walakini lazima!
Mbaya zaidi wanakaribishwa Ikulu yetu takatifu kusherehekea. Majitu yameharibu watoto wetu wa shule yanapongezwa kwa sherehe KUBWA kwa gharama ya kodi zetu wazazi. Hii ni nchi yetu hatuhami na tutaendelea kukemea maovu yoyote ambayo Awamu hii yamezidi. Wahame wao mapema.
Wewe unatafuta nafasi ya Uwaziri anaoshikilia Makamba kwa sababu katazo la plastic ni LA dunia nzima na kwetu lilipitishwa toka enzi za Mkapa. Wabunge wetu hupitisha miswada na kusahau baada ya kulipwa stahili zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.