Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,321
Kwa haya yanayoendelea,watu hawa wajue tu kuwa hata wao hawako salama kwani ipo siku kaburi hili litafukuliwa tena linaweza kuja kufufuliwa hata na mtu wa kutoka katika chama chao mbali na wapinzani.
Hiki chama sijui kama kuna alie msafi(asie na tuhuma) na huku kushughulikiana kuna jenga hisia na fikra za subiri na yeye atoke tuje tuibue yake na tushughulikie watu wake kama ambavyo yeye leo hii ametugeuka.
Wakati Bwana huyu wa leo hataki hata kuyaongelea baadhi ya makaburi, ajue tu teyari ameshaweka precedence itayompa mridhi wake nguvu ya kushughulikia yanayomuhusu yeye mwenyewe na hata watu wake wa karibu unless afanikiwe kuweka mtu wa kulinda anayoyafanya/aliyoyafanya siku za nyuma.
Kwa kifupi,maadam anaonekana kwenda kinyume na utamaduni waliojiwekea,sijui kama na wenzake hawatataka kumuonyesha kwamba hata yeye sio msafi kama anavyotaka watu waamini wakati sahihi utakapofika kwani hicho kiti ni kiti cha kupokezana.
Wacha waendelee na ugomvi wao wa mawe ili hali wote wanaishi kwenye nyumba za vioo huku sisi tukibaki watazamaji.
Hiki chama sijui kama kuna alie msafi(asie na tuhuma) na huku kushughulikiana kuna jenga hisia na fikra za subiri na yeye atoke tuje tuibue yake na tushughulikie watu wake kama ambavyo yeye leo hii ametugeuka.
Wakati Bwana huyu wa leo hataki hata kuyaongelea baadhi ya makaburi, ajue tu teyari ameshaweka precedence itayompa mridhi wake nguvu ya kushughulikia yanayomuhusu yeye mwenyewe na hata watu wake wa karibu unless afanikiwe kuweka mtu wa kulinda anayoyafanya/aliyoyafanya siku za nyuma.
Kwa kifupi,maadam anaonekana kwenda kinyume na utamaduni waliojiwekea,sijui kama na wenzake hawatataka kumuonyesha kwamba hata yeye sio msafi kama anavyotaka watu waamini wakati sahihi utakapofika kwani hicho kiti ni kiti cha kupokezana.
Wacha waendelee na ugomvi wao wa mawe ili hali wote wanaishi kwenye nyumba za vioo huku sisi tukibaki watazamaji.