Recent content by walitola

  1. walitola

    Ushawahi kuwa na ujasiri huu?

    Kwa nn umemdhallisha dada wa watu kulikuwa kuna hana yoyote ya kumfanyia ivyo
  2. walitola

    Style ya mapigo na mwendo nimeikubali

    Kazi kweli kweli
  3. walitola

    Hivi nyie wenzangu huwa mnawezaje kula viporo?

    Mjomba wewe utakuwa wa kishua sana yani viporo mbona unyama sana tena upate wali na kisamvu cha Nazi unapiga na chai fulani hivi
  4. walitola

    Mchungaji amchumbia mjane kwenye mazishi ya mumewe

    Uyo mchungaji tayar alikuwa anapakua kitambo sana
  5. walitola

    Mchepuko akatalia kwangu. Nifanyaje wadau?

    Nenda kituoni ongea na mapoti chukua fenda waachie ela ya mafuta shughuli itakuwa imeisha
  6. walitola

    Wazungu waongoza kuwa waajiri bora zaidi duniani

    Africa ni shimo la jehanamu
  7. walitola

    Nimepata kisonono kizembe sana naomba ushauri

    Wadada wengi siku hizi wameoza magono yakugusa
  8. walitola

    Kwanini siponi amoeba

    Sawa mkuu, jitahidi uwe unatumia maji ya chemchem au kisima ni mazur tangu nimeanza kutumia maji ayo amiba imekata kabsa alafu kingine kuna dawa nzuri sana ya majani fulan nilielekezwa dawa nzuri sana ya amiba nitapiga picha alafu nikutumie utafute unywe ni mazur sana
  9. walitola

    Kwanini siponi amoeba

    Mkuu pole sana kwa changamoto, naomba nijue unaishi mikoa ya Kanda ya ziwa au?? kwa haraka haraka tatizo la amoeba lipo sana Kanda ya ziwa sijajua ni kwa nn hii kitu inasumbua sana maeneo ya ziwa wataalamu waje watuambie, binafsi naishi mkoa wa mara before nilikuwa naishi dar es salaam nipo...
  10. walitola

    Nani kafanikiwa kuomba usajili au namba ya NHIF kupitia mfumo wao mpya wa NHIF Self Service?

    Jamani huu mfumo mimi binafsi kwa mara ya kwanza niliona upo complicated sana lakini kumbe kuna details zangu zilikuwa hazipo sawa kwenye upande wa NHIF ikabidi nimpigie jamaa mmoja akaniambia nimpe no yangu ya uanachama akai akacheki na kukuta kuna taarifa hazipo sawa ikabidi afanye marekebisho...
  11. walitola

    Hii nimeitunza

    Tafuta na wew wako umuoe uyo sio wako tena
  12. walitola

    Kama n mwanaume usifanye haya

    Alamu siku zote ndio tamu eniwei ngoja tujitahidi kuyashinda majaribu
Back
Top Bottom