Sawa mkuu, jitahidi uwe unatumia maji ya chemchem au kisima ni mazur tangu nimeanza kutumia maji ayo amiba imekata kabsa alafu kingine kuna dawa nzuri sana ya majani fulan nilielekezwa dawa nzuri sana ya amiba nitapiga picha alafu nikutumie utafute unywe ni mazur sana
Mkuu pole sana kwa changamoto, naomba nijue unaishi mikoa ya Kanda ya ziwa au?? kwa haraka haraka tatizo la amoeba lipo sana Kanda ya ziwa sijajua ni kwa nn hii kitu inasumbua sana maeneo ya ziwa wataalamu waje watuambie, binafsi naishi mkoa wa mara before nilikuwa naishi dar es salaam nipo...
Jamani huu mfumo mimi binafsi kwa mara ya kwanza niliona upo complicated sana lakini kumbe kuna details zangu zilikuwa hazipo sawa kwenye upande wa NHIF ikabidi nimpigie jamaa mmoja akaniambia nimpe no yangu ya uanachama akai akacheki na kukuta kuna taarifa hazipo sawa ikabidi afanye marekebisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.