Ruvuma ni homeboy kabisa baba na mama wote wa huko lkn sitaki kwenda huko kabisa na familia yangu yote sitaki ikanyage huko kabisa shida huko uchawi ni kama Chakula yani hakifai kabisa wanapenda sana ushirikina
Lakini bado haitoshi watanzania wengi wanasumbuliwa na magonjwa yasiyoambukizwa isitoshe mpk huko vijijini hali mbaya sana wewe unaisi tatizo lipo wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.