Recent content by walitola

  1. walitola

    DOKEZO Baadhi ya Watumishi wasio waadilifu TANESCO wachukua rushwa ya laki tano

    Duh shutuma mbaya sana hii kwenye taasisi serikali liangalieni ili tafadhali Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. walitola

    Nampenda mchepuko wangu kuliko mke wangu

    Mkuu nakushauri baki na mkeo achana na huo mchepuko wako, nakupa shuhuda yangu. Nilipata lidada fulan limchepuko sasa bhana nikawa nakula utelezi nikala nikanogewa nikasema uyu ndio mke wakat huo nilikuwa nmeoa tayal aisee acha tu kumbe yule dada alikuwa ananichomea madawa vbaya mno basi huku...
  3. walitola

    Mwanamke anakulipia hela ya kunyoa, halafu anakwambia kuhusu kukaribia kuisha kwa kodi yake ya pango

    Basi kaa na mkeo tafadhali achana na malaya Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  4. walitola

    Kanisa la anglikana kutoa adhabu kali kwa wasiohudhuria jumuiya

    Huko walishaacha kusali jumuiya kwa upande wa vijana ila wamebaki watoto na vikongwe tu kwenye kusali jumuiya Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  5. walitola

    Mapenzi ya sasa hayana ladha

    Mkuu upo kwenye masomo ya kusomea upadre! Una moyo mgumu kama yesu[emoji14] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  6. walitola

    Usisiome kozi hizi..!

    Inategemea mkuu wengine GPA zilikuwa za kupewa tu, nakumbuka interview yangu ya mwanzo na mwisho niliyopata kazi pale DUCE tulifanya na vipanga ilikuwa ya tax magnt officer tra, kuna watu wengi walikuwa na cpa na wengine GPA za kutisha lkn wengi waliambulia kupata 20 kati ya 100 lkn wale wenye...
  7. walitola

    Mwanamke aliyekamilika lazima agongwe na watu wengi;ila akiwa na udhaifu fulani ndo hatoi ovyo

    Ongera kwa uchunguzi ulioufanya nilikuwa cjui kumbe iko ivyo Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. walitola

    Huyu mdudu anaitwaje kikwenu?

    Yap ni kweli wale mchwa wanakuwa wana matumbo makubwa alafu kwa mbele meno yao ni visu wakikuuma mpk unatokwa na damu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  9. walitola

    Huyu mdudu anaitwaje kikwenu?

    Duh mkuu umenikumbusha mbali sana sisi kwetu huko ruvuma tunawaita mageke wanapatikana kwenye vichuguu ila wanang'ata mpk damu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. walitola

    Kwa matokeo haya nimshauri nini dogo

    Dah msikilize kwanza yeye anataka nini Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  11. walitola

    Usijitengenezee mazingira yatakayoleta ugumu kwa watu kukupenda

    Siku hizi mtu mwenye pesa ndio anathaminiwa sana sasa subir pesa ziishe ndio utajua walimwengu wana sura gani Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  12. walitola

    Usile Chakula cha Msibani au kwenye Sherehe bila kuomba

    Mleta mada misiba unayozungumzia iyo ni ile ya zamani, kwa sasa misiba mingi uwa wanalishwa na cataring sasa embu toa ufafanuzi kidogo misiba ya aina gani!? Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  13. walitola

    Mr. Kuku anatafutwa na Serikali kwa utapeli

    Raia wa bongo wanapenda sana kitonga a.k.a ganda la ndizi waache wapigwe tu wajinga ndio waliwao Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. walitola

    Nabahatika kufanya interview nyingi ila sipati kazi

    Usikate tamaa ndugu pambana mpk tone la mwisho bila kuchoka mkuu utakuja kuona mwenyewe Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom