Sasa mwalimu na uyo mhasibu wana ufahamu wowote kuhusu mfumo wa nest wa manunuzi ya Serikali? Mbona hii kesi wangetafuta mwanasheria mbona walikuwa wanashinda
Watafuta ajira kwani ukivaa suruali Yako ya kitambaa na shati lako na kiatu chako cheusi unapungukiwa na nini tuvae smati mfano unaona sasa jamaa wamekosa kufanya usaili kwa sababu za kipuuzi kabisa
Mkuu acha kupotosha watu taratibu zinajukikana kabisa na hata ukienda kwenye hayo mataasisi ya kimataifa wapo very smart mkuu ususani kwenye mavasi sembuse kwenye ofisi zetu hizi za kibongo, niwashauri tu vijana tuvae smati tukienda kwenye sahili zetu
Mzee baba kwanza kitendo cha mkeo kwenda kushtaki kwao hapo tu kashaaribu bado hana ukomavu kwenye ndoa ilipaswa mashtaka yapelekwe kwenu ila kwakweli ndoa hizi shida tupu, wewe fanya maamuzi mwenyewe ukiona kuishi nae sawa au umuache shega tu mana zakuambiwa changanya na zako
Ruvuma ni homeboy kabisa baba na mama wote wa huko lkn sitaki kwenda huko kabisa na familia yangu yote sitaki ikanyage huko kabisa shida huko uchawi ni kama Chakula yani hakifai kabisa wanapenda sana ushirikina
Lakini bado haitoshi watanzania wengi wanasumbuliwa na magonjwa yasiyoambukizwa isitoshe mpk huko vijijini hali mbaya sana wewe unaisi tatizo lipo wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.