Mkuu nakushauri baki na mkeo achana na huo mchepuko wako, nakupa shuhuda yangu. Nilipata lidada fulan limchepuko sasa bhana nikawa nakula utelezi nikala nikanogewa nikasema uyu ndio mke wakat huo nilikuwa nmeoa tayal aisee acha tu kumbe yule dada alikuwa ananichomea madawa vbaya mno basi huku...
Huko walishaacha kusali jumuiya kwa upande wa vijana ila wamebaki watoto na vikongwe tu kwenye kusali jumuiya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Inategemea mkuu wengine GPA zilikuwa za kupewa tu, nakumbuka interview yangu ya mwanzo na mwisho niliyopata kazi pale DUCE tulifanya na vipanga ilikuwa ya tax magnt officer tra, kuna watu wengi walikuwa na cpa na wengine GPA za kutisha lkn wengi waliambulia kupata 20 kati ya 100 lkn wale wenye...
Yap ni kweli wale mchwa wanakuwa wana matumbo makubwa alafu kwa mbele meno yao ni visu wakikuuma mpk unatokwa na damu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duh mkuu umenikumbusha mbali sana sisi kwetu huko ruvuma tunawaita mageke wanapatikana kwenye vichuguu ila wanang'ata mpk damu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Siku hizi mtu mwenye pesa ndio anathaminiwa sana sasa subir pesa ziishe ndio utajua walimwengu wana sura gani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mleta mada misiba unayozungumzia iyo ni ile ya zamani, kwa sasa misiba mingi uwa wanalishwa na cataring sasa embu toa ufafanuzi kidogo misiba ya aina gani!?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Raia wa bongo wanapenda sana kitonga a.k.a ganda la ndizi waache wapigwe tu wajinga ndio waliwao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.