Recent content by walitola

  1. walitola

    JamiiForums Tanzania Chuando tan ana miaka 60 lakini ana muonekano wa kijana kabisa

    Suala si pesa jamani, watu wenye asili ya Asia huko wanazingatia sana Chakula ndio mana miili yao bado inaonekana bado wadogo
  2. walitola

    JamiiForums Tanzania Uliwahi muona marehemu anayezikwa kwa mkono hadala ya chepe na jembe kwa madai ametolewa kafara? Soma hii imetokea Songea.

    Ruvuma ni homeboy kabisa baba na mama wote wa huko lkn sitaki kwenda huko kabisa na familia yangu yote sitaki ikanyage huko kabisa shida huko uchawi ni kama Chakula yani hakifai kabisa wanapenda sana ushirikina
  3. walitola

    JamiiForums Tanzania Siku niliyoenda Afrika Kusini ndipo nilipoelewa kwanini watu wengi kule vibonge

    Lakini bado haitoshi watanzania wengi wanasumbuliwa na magonjwa yasiyoambukizwa isitoshe mpk huko vijijini hali mbaya sana wewe unaisi tatizo lipo wapi
  4. walitola

    JamiiForums Tanzania Homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi?

    Ongera Kwa kupata chanjo, vp gharama zake zikoje Kwa Kila chanjo??
  5. walitola

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Leo nimetua mzigo mzito wa mahusiano

    Bonge la stori kocha nabi umenifanya usingizi ukate kwa stor yako amazing
  6. walitola

    JamiiForums Tanzania Kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi

    Kupitia ngono unaweza kubeba vitu vingi sana ikiwemo nuksi, mikosi na mabalaa mbalimbali ivyo epuka sana ngono zembe
  7. walitola

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kuwa na ujasiri huu?

    Kwa nn umemdhallisha dada wa watu kulikuwa kuna hana yoyote ya kumfanyia ivyo
  8. walitola

    JamiiForums Tanzania Style ya mapigo na mwendo nimeikubali

    Kazi kweli kweli
  9. walitola

    JamiiForums Tanzania Hivi nyie wenzangu huwa mnawezaje kula viporo?

    Mjomba wewe utakuwa wa kishua sana yani viporo mbona unyama sana tena upate wali na kisamvu cha Nazi unapiga na chai fulani hivi
  10. walitola

    JamiiForums Tanzania Mchungaji amchumbia mjane kwenye mazishi ya mumewe

    Uyo mchungaji tayar alikuwa anapakua kitambo sana
  11. walitola

    JamiiForums Tanzania Mchepuko akatalia kwangu. Nifanyaje wadau?

    Nenda kituoni ongea na mapoti chukua fenda waachie ela ya mafuta shughuli itakuwa imeisha
Back
Top Bottom