Huo ni mwendelezo wa upuuzi katika wilaya ya Urambo. Wakazi wa wilaya hiyo wana tatizo kubwa la maji na miundo mbinu ya ovyo halafu madiwani wanakimbilia kununua GX-V8.
Ni aibu kwa TCRA. Nchi hii bora liende! Local channels hazipatikani kwenye ving'amuzi, na hata zikipatikana baadhi zinakuwa hazina sauti. Shame on you!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.