Habari zenu wana jf, msaada mimi sio mwenyeji sana wa jiji naomba kujua ni maeneo gani mazuri ya kupeleka watoto wakaenjoykwa kipindi hiki cha skukuu, sehemu za gharama nafuu
Mh kazi kwelikweli, kwaiyo niache kufanya vitu vya mana eti nifikirie ni jinsi gani niliteke lijitu lizima, mbona yeye afikirii ni jinsi gani aniteke au wanawake ndo tunadhiki ya kuteka mijitu mizima
Habari zenu wana jf, mimi naishi dar nataka kufanya biashara ya kuuza simu kariakoo naomba mwenye uzoefu anijuze faida na hasara ya biashara hii na nnaweza anza na mtaji wa shingapi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.