Wait what? Mwanachuo ni mtoto mdogo hadi achaguliwe mpenzi? Huo utaratibu wa ku sign form kwenye icho chuo upo? Au kelele nyingi ulaya ulaya si uende ulaya
Nipo kakonko mkoa wa kigoma vijijini huku nimepota maeneo ya malenga,bukiriro, katanga,mgunzu hadi mabamba kulipo na boarder ya burundi barabara ni mbovu sana, napendekeza hzo pesa zingekarabati barabara ya vijijini hali ni mbaya sana
Dar mnadeka sana! Mikoa yote utaratibu ni kupanda na kushusha stand na hakuna malalamiko!na hakuna hiace masaa 24 kama nyie usiku watu tunapanda bajaji na boda Mbona mnajipa umuhimu sana?
Acha nadharia nyingiii wewe sio msemaji wa kila mtu. Mimi pia ni abilia binafsi naridhika na kuwapo kwa utaratibu wa kushusha na kupakia stand ili kupunguza foleni zisizo za lazima pia dar kuna makampuni zaidi ya 50 ya mabus yote yakitumia utaratibu unaotaka kutakarika mjini? Eti abilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.