Ndugu wanajamii,
Nimechoshwa na uzembe unaofanywa na Idara ya Uhamiaji Tanzania hasa kwenye masuala ya utoaji wa huduma kwa wateja. Kwanza kabisa, hakuna namba maalum ya huduma kwa wateja ambayo mtu anaweza kuipigia kwa msaada pale ambapo kuna shida yoyote. Ni aibu kuona idara kubwa kama hii...
1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Wait what? Mwanachuo ni mtoto mdogo hadi achaguliwe mpenzi? Huo utaratibu wa ku sign form kwenye icho chuo upo? Au kelele nyingi ulaya ulaya si uende ulaya
Nipo kakonko mkoa wa kigoma vijijini huku nimepota maeneo ya malenga,bukiriro, katanga,mgunzu hadi mabamba kulipo na boarder ya burundi barabara ni mbovu sana, napendekeza hzo pesa zingekarabati barabara ya vijijini hali ni mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.