Recent content by Wakishua org

  1. Wakishua org

    Watoto ni zawadi pekee

    Ndugu tambua kuwa sheria hazitungwi kwa kuangalia shida ya mtu mmoja mmoja kama hiyo yako, pia kama umesoma vizuri hii sheria haijatungwa siku hizi za karibuni!!! Tambua kwamba hizi sheria zishatungwa muda mrefu hivyo sasa hivi ni utekelezwaji pamoja na usimamizi.
  2. Wakishua org

    Watoto ni zawadi pekee

    Habari wana jamii wenzangu... Nipo hapa kukumbushana katika suala la malezi na makuzi ya watoto wetu. Ujumbe huu ni kwetu sote kwa sababu naamini ipo siku kila mmoja atasimama kuwa mzazi. Jamii ya sasa kutokana na utandawazi unao endelea imetokea watoto kukosa mapenzi ya dhati na...
  3. Wakishua org

    Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

    Aagize Jimny from Japan, mpaka ifike Tz na kukamilisha usajili iyo 7Ml yake inatosha
  4. Wakishua org

    Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

    11Ml-12Ml unapata IST mpya kabisa hapa hapa Tz, huko Japan bei ni chini ya hapo 😁
  5. Wakishua org

    Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

    Ni wazo zuri inahitaji gari ya kutembelea but ni vema ukawa na specifications za aina gani ya gari unahitaji... Hiyo itakusaidia kupata kwa uharaka... Unaweza nicheck kama upo serious nina gari used
  6. Wakishua org

    Watanzania wasema Rais Samia anatosha na hakuna sababu ya kufanyika kwa uchaguzi wa Rais 2025

    Ukiwa unaandika mambo kama haya uwe unaweka na vithibitisho ila sio kuongopa as if sie ni watoto tusio jielewa🤌🏾
  7. Wakishua org

    Bariki fedha yako

    Karibu sana ndugu 🙏🏾
  8. Wakishua org

    Bariki fedha yako

    Kitu ninachopenda zaidi Sharma sometimes ana recall toka kwa waandishi wengine hivyo akichanganya na mambo anayoyaona katika jamii, basi hufanya uandishi wake kuwa bora zaidi.
  9. Wakishua org

    Bariki fedha yako

    Nashukuru ✊🏾
  10. Wakishua org

    Bariki fedha yako

    Ndio ipo version ya Kiswahili ndugu... Hichi kitabu ukikielewa kina madunzo mazuri sana
  11. Wakishua org

    Watanzania wasema Rais Samia anatosha na hakuna sababu ya kufanyika kwa uchaguzi wa Rais 2025

    Ndugu huwezi ambilika sababu ushajiweka kiziwi n kipofu juu ya uyo Samia but huo ndio ukweli na njia anazotumia zishatumika sana huko ktk mataifa mengine hivyo hana jipya zaidi ya ushamba tu...
  12. Wakishua org

    Watanzania wasema Rais Samia anatosha na hakuna sababu ya kufanyika kwa uchaguzi wa Rais 2025

    Mie kwa sehemu nilizo pita hapa Tz sijaona sehemu yoyote wanayo unga mkono haya uyasemayo. Kiufupi huu utawala ni moja ya utawala mbovu ambao unapingana n maendeleo yaliyo achwa na uongozi wa magufuli. Huyu mama kaweza ku invest kulipa watu kuweza kumsifia mitandaoni tu 😂 Hii ni ajenda mbovu sana
  13. Wakishua org

    Bariki fedha yako

    Amani iwe nanyi wana jamvi 🙏🏾 Nipo hapa kuweza kushirikishana katika namna bora ya "kubariki fedha zetu" Kuna waandishi wengi sana Duniani ila kuna huyu Nguri mwandishi Robin Sharma ambae kaandika zaidi ya vitabu 10 maarufu na kimoja wapo ni "NANI ATALIA,SIKU UKIFA?" Katika kipengele namba...
Back
Top Bottom