Taasisi ya taifa ya mazingila, nawapongeza kwa kuzuia kelele mitaani
Ulikuwa ni ujinga mtupu uliokuwa unapiga kelele kwenye mabaa mitaani. Ila nawalaumu NEMC kuufanya uzembe wa muda mrefu wakati Sheria zipo muendelee bila kuchoka asiye sikia futa lessen
Nyumba za ibada usiku tabu nazo naona...
Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguze kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je, Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Naomba kwa yeyote anapopajua sehemu au duka linalouza vifaa vya mgahawa mfano majiko ya gess mafufulia ,bufee ,mashine ya gass ya kuchoma kuku nyama na nk
Chonde chonde wanasimba siku ya uchaguzi mtaletewa pilao na ukoo wa mo
Nawaomba msile hicho chakula ogopa chakula cha aina hiyo kutoka kwa dini ya Shia mtapitisha ajenda bila kujielewa
Timu ya yanga kimataifa siyo kama Simba.
Yanga kwenye uongozi wa leo wanaushamba fulani au ulimbukeni na wakiwa na akili hizo tutegemee anguko kwenye klabu.
Viongozi wa Yanga kimataifa hawawezi kabisa ila wanakiwango kizuri cha wachezaji lakini uongozi hovyo. Nawatahadharisha wasikilize wazee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.