Mimi Kuna marafiki tulikua pamoja na tulishirikiana Sana katika kupeana updates Za nafasi za kazi
Na tulitembea Sana kwenye mikoa tofauti ili mradi tupate check namba
Balaa lilianza baada ya wachache wao kupata ajira mawasiliano yalipungua na mwisho wa siku ukituma message unaulizwa Nani...
Mimi baada ya kumaliza chuo 2019 kwa ngazi ya diploma
Nikawa Sina mishe yoyote mtaani ndipo jamaa akanambia twende tukauze mifuko sokoni temeke sterio
Nashukur Mungu nikawa napata pesa ya kula, kuvaa Na malazi na hata pesa ya kwenda kufanya usaili pia
Ila changamoto hazikosekani maana watu...
Lakini Pemba wengi wao wanakuwa wapo kwenye ndoa tayari
Yaani wanaingia kwenye ndoa katika umri mdogo
Tofauti Na hizo sehemu nyingine Ambapo wanazaa ovyo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.