Wao kama jeshi hawakulijua hilo achen kutetea ujinga if mtu anaingiza silaha ndan ya mipaka yenu na mnajua plan zake still na anakuja anafanikiwa then hamjitambui kubalin tu mmetia aibu sana
Mauaji yamefanyika siku tatu mfulizo tena yalikuwa well coordinated kubalini tu JWTZ mmekuwa exposed hamna lolote na mmewekwa lockdown mwezi mzima kama kuku wa kisasa
Tatizo kubwa la samia na iki kikundi chake cha polisi wa doria mtandaoni jamaa wanateka na kupoteza watu kisa comments za mitandaoni nadhani wanahitaji shule zaid nn huwez ukawa unakamata kamata watu kisa comments tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.