Recent content by wakali ndondo

  1. W

    JamiiForums Tanzania Kama siyo huruma ya Rais Samia, Lissu atakaa sana mahabusu

    Kwa akili yako unadhani mahakama inahitaji kuendeshwa kwa hisani za rais
  2. W

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri wa Afya na TAMISEMI, chunguzeni utendaji kazi wa Kituo cha Afya Kigamboni, Watumishi tunapitia mazito

    Ndo maana nimemwambia anaonekana n kiongozi mzuri afu anajua kufatilia DMO wake ampe uMOI aongoze kituo
  3. W

    JamiiForums Tanzania Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Acha kuzua taharuki mkuu watu hawafi ghafla magobjwa ni siri za watu labda unataka uwe unatangaziwa kila wakienda kutibiwa ili usione ni ghafla
  4. W

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri wa Afya na TAMISEMI, chunguzeni utendaji kazi wa Kituo cha Afya Kigamboni, Watumishi tunapitia mazito

    Mkuu me nashauri DMO akupe uongozi wa icho kituo unaonekana n kiongozi mzuri na mfatiliaji wa mambo kituo kitapaa sana kimapato 😅
  5. W

    JamiiForums Tanzania Hata kama Mbowe alikuwa ana mapungufu yake, lakini alikuwa anakiokoa sana hiki chama! Master of politics

    Mchukueni aiokoe ccm mikonon mwa samuya
  6. W

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Miaka mitatu anatafutiwa ufadhili gani??kuna uhuni ulifanyika ao wazaz waliuza ao watoto now wameingia tamaa wanawataka tena
  7. W

    JamiiForums Tanzania Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    Kumbe ni babari izo tutazipuuza tu ila habari za cnn tutaendelea kufatilia afu sidhani kama kuna mtanzania anahitaji cnn imwambie yaliyotokea
  8. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Weekend nyingine mbaya kwa Man City na Liverpool. Huu mwaka wa Arsenal. Period!

    December bado haijaanza mkuu relax
  9. W

    JamiiForums Tanzania Anayesema JWTZ zima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa

    Jamaa walishapewa code kuwa JWTZ wanebeba mapambo ndi maana polisi walikuwa wanawadharau sana
  10. W

    JamiiForums Tanzania Anayesema JWTZ zima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa

    Wao kama jeshi hawakulijua hilo achen kutetea ujinga if mtu anaingiza silaha ndan ya mipaka yenu na mnajua plan zake still na anakuja anafanikiwa then hamjitambui kubalin tu mmetia aibu sana
  11. W

    JamiiForums Tanzania Anayesema JWTZ zima linaunga mkono mauwaji na utekaji nakataa

    Mauaji yamefanyika siku tatu mfulizo tena yalikuwa well coordinated kubalini tu JWTZ mmekuwa exposed hamna lolote na mmewekwa lockdown mwezi mzima kama kuku wa kisasa
  12. W

    JamiiForums Tanzania Serikali ya samia inateka na kuuwa ndugu zetu wengi sana kila siku unafikiri tutawafanya nini hawa polisi wapumbavu #D9

    Tatizo kubwa la samia na iki kikundi chake cha polisi wa doria mtandaoni jamaa wanateka na kupoteza watu kisa comments za mitandaoni nadhani wanahitaji shule zaid nn huwez ukawa unakamata kamata watu kisa comments tu
  13. W

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Udongo wa Makaburi ya Kondo tayari umesha nasa DNA za mashujaa wetu hata mkiwafukua baada ya kuumbuliwa haitasaidia

    Polisi wa tanzania hawana akili iyo ya kucover tracks zao watakuwa walikuwa wanatupia tu
  14. W

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nimeogopa sana! Kete yao ya mwisho ni udini

    Cccm hawajui gen z hawako serious na din hawaend misikin wala kanisan
Back
Top Bottom