Recent content by Wajumbe

  1. W

    Kituo cha Mafuta cha TOTAL Mlimani City na unyanyasaji/udhalilishaji kwa wananchi

    Niliwahi kuwahoji sababu ya kuzuia watembea kwa miguu kupita na kupata huduma zilizomo ndani ya kituo au kupita njia; wakasema ni sababu za kiusalama. Nilivyowadadisi wakasema mwekezaji aliyepanga supermarket hapo alikuwa halipi kodi na kuhama alikuwa hataki, yaani ni mbabe na mwenye vitisho...
  2. W

    Watumishi wa umma tumtie moyo Tundu Lissu

    Namuunga mkono Tundu Lissu
  3. W

    Hali ya nchi baada ya kuapishwa rais Novemba 2020

    Najaribu kuwaza sipati jibu. Je atapita mgombea gani? Je, Uhuru na Demokrasia itakuwepo au ndo tutarudi 2015/2020? Je, waliompinga rais mpya watatekwa, watauwawa, watashtakiwa? Je, rais mpya atalipa visasi kwa wabaya wake na watu waliokuwa wanampinga? Hata sipati jibu Tanzania itakayoanzia...
  4. W

    GE2020 Magufuli aliwasema na kuwadhalilisha watu barabarani, leo naye anasemwa vibaya barabarani huko huko

    Hahahaa, yale matusi ya kilaza na lipumbavu yanamrudia mwenyewe. Katika historia ya nchi tangu Uhuru, wajukuu zetu watamsoma na kumshangaa sana huyu rais kwa kutoheshimu utawala wa sheria, na matumizi ya mabavu, na kutembea na vikosi vya majeshi vya kumlinda ndani ya nchi yenye amani. Ukifanya...
  5. W

    GE2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020

    Hivi kabla ya mwaka 2015 Tanzania ilitawaliwa na TLP? CCM hawana jipya nchi hii, hao ndo chanzo kikuu cha umaskini wa Tanzania akifuatiwa na shetani
  6. W

    Nahitaji mume, miaka 39-50

    Kwani mwenye miaka 50 hawezi kuoa bint wa miaka 20 hadi aparamie miti mikavu
  7. W

    GE2020 Ushauri: Mgombea Urais kupitia CCM, zungumzia Tanzania ya Viwanda ulivyoifanikisha ili upate kura za kutosha

    Hivi naweza kukodi bombadia moja inipeleke mkoani. Niweke mafuta tu. Na posho kwa rubani?
  8. W

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

    Mimi nimefanikiwa kupanda flyover ya Ubungo nikiwa kwenye mwendokasi kwa nauli ya Sh 650 tu. Sijawahi kupanda ndege yeyote wala bombadia ya Magufuli. Sijui wangapi mmepanda flyover na bombadia za Magufuli? Maendeleo hayana chama
  9. W

    GE2020 Tatizo la sera za Rais Magufuli ni kutogusia maendeleo ya watu kwenye kampeni zake

    Hivi mtu anashindwa kupata hata chai ya asubuhi, anadandia malori kwenda kijijini kwake eti aje kupanda flyover sijui ndege. Labda zile ndege za sabasaba.
  10. W

    Miaka 60 ya ujinga, maradhi, umasikini na ufukara wa Watanzania chini ya CCM

    Basi CCM wametengeneza Sera mbovu miaka yote 60.
  11. W

    Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!

    Sure. Lissu ana PhD zaidi ya kumi. Hii namba aisee. Asante Mungu kwa kumlinda Lissu
Back
Top Bottom