Niliwahi kuwahoji sababu ya kuzuia watembea kwa miguu kupita na kupata huduma zilizomo ndani ya kituo au kupita njia; wakasema ni sababu za kiusalama. Nilivyowadadisi wakasema mwekezaji aliyepanga supermarket hapo alikuwa halipi kodi na kuhama alikuwa hataki, yaani ni mbabe na mwenye vitisho...
Najaribu kuwaza sipati jibu. Je atapita mgombea gani?
Je, Uhuru na Demokrasia itakuwepo au ndo tutarudi 2015/2020?
Je, waliompinga rais mpya watatekwa, watauwawa, watashtakiwa?
Je, rais mpya atalipa visasi kwa wabaya wake na watu waliokuwa wanampinga?
Hata sipati jibu Tanzania itakayoanzia...
Hahahaa, yale matusi ya kilaza na lipumbavu yanamrudia mwenyewe. Katika historia ya nchi tangu Uhuru, wajukuu zetu watamsoma na kumshangaa sana huyu rais kwa kutoheshimu utawala wa sheria, na matumizi ya mabavu, na kutembea na vikosi vya majeshi vya kumlinda ndani ya nchi yenye amani. Ukifanya...
Mimi nimefanikiwa kupanda flyover ya Ubungo nikiwa kwenye mwendokasi kwa nauli ya Sh 650 tu. Sijawahi kupanda ndege yeyote wala bombadia ya Magufuli.
Sijui wangapi mmepanda flyover na bombadia za Magufuli?
Maendeleo hayana chama
Hivi mtu anashindwa kupata hata chai ya asubuhi, anadandia malori kwenda kijijini kwake eti aje kupanda flyover sijui ndege. Labda zile ndege za sabasaba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.