Recent content by wajojo

  1. W

    JamiiForums Tanzania Warning kuhusu simu za Galaxy S4, S3, Note 2 za kichina

    Kuna galaxy note 3 nimeona wanauza laki tatu,ni kutoka korea(ni ya kichina tuseme) ila wenyew wamesema inafanya kazi vizur tu kama original, ila tofauti ni camera ukipiga usiku haineshi vzur, blurred vision. Je ni kweli? Kuna mtu nimemuuliza kuhusu chinese galaxy akasema net zinasumbuaga, is it...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa watanzania

    MMh yani humu siku izi haiishi miujiza, aya hyo kishenkupe wa baba ubaya nae katokea wapi? Kama yeye kaaliniwa ni yeye na familia yake, uhai wetu mpaka leo hii ni baraka tosha
  3. W

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

    Sijaona, ngoj nichek
  4. W

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

    Hapana chezea
  5. W

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

    Nimempenda bure
  6. W

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

    Nasikia mama wema alimtumia clement message akiomba msamaha kwa mwanae ili arudiwe, jamaa kagoma, nasikia wamehangaika kumrudisha ila wapi
  7. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

    pia namshukuru mungu roho ya kisasi sina kabisa, nitendee ubaya wote kama ukipata tatizo nakusaidia tena kwa moyo mmoja, watu wananishangaaga sana maana mtu anaweza kunitukana matusi mazito ila ikitokea akawa na tatizo namsaidia tu kiroho safi, nikifanya wema kwa adui yangu uwa najisikia amani...
  8. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

    Mda mwingine ni ngumu sana kusamehe, nilishawahi kukaa na kinyongo kwa miaka mitatu mfululizo, rafiki yangu niliyemwamini na kumpa siri zangu alinijeruhi sana, kila nikimuona moyo unadunda sana na kukosa amani, kuna siku nikaja kusoma kitabu kimoja ivi kinaitwa MOYO ULIOJERUHIWA, kile kitabu...
  9. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nguvu ya msamaha katika mahusiano/mapenzi

    Napenda kusamehe kila wakati na kusahau, ata unitendee nini, ndivyo nilivyo nasamehe maisha yanaenda
  10. W

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

    Sio usikute, mama wema anawekwa mjin kwa pesa za umalaya za mwanae, sasa kaona bonge la bwana kakimbia ndo mapovu yanamtoka, umalaya tu mzee mzima ovyo
  11. W

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

    NDo nilikuwa nashangaa juzi team wema inavyopiga makerere humu wamefuraia malaya mwenzao kahongwa magar mawili, yani kabisa mtu unafuraia magar ya kupewa bure halafu kesho unapokonywa mmh, mi ndo toka atudanganye na magar ya kifahar kuwa ni yake na nyumba ya mil 400 ata kesho aje na hadith gan...
  12. W

    JamiiForums Tanzania Sporah show Diamond akipasua yai

    NDo nilikuwa naangalia apa clouds, mi uwa simkubali ndomo ata, ila kwa lugha kwa kweli kanishangaza sana, he is doing well kwa kweli, nimempenda bure, mungu amasaidie aisee, kweli nimeamini hakuna kinachoshindikana duniani, its another big step kwa kwel, he deserves shout out
  13. W

    JamiiForums Tanzania Sporah show Diamond akipasua yai

    mmh!! Hapana kwa kweli kile kiingereza ingekuwa imeandikwa halafu watu wakasema ndo diamond kasema vile, ningebisha hadi siku ya mwisho, meen it was amazing, kwa kweli nilibaki naduwaa is this diamond of tandale? Who has never went to any english medium school? Yule mburulaz? Duh kwa alipofikia...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Sporah show Diamond akipasua yai

    Frankly speaking kwa kweli hata mimi kanivutia, it took few minutes kuamini if that was the same diamond of yesterday, khaa kwa kweli anajitahid sana, safi sana diamond, mungu akubariki ufanikiwe, maana miaka ya juzi ukihojiwa kimondo had unatia huruma, big up kwa kweli
  15. W

    JamiiForums Tanzania Rose ndauka arudi kwao baada ya mchumba wake kuwajaza mimba wanawake 2 tofauti

    YUle jama hajatulia, kuna siku nilikutana nae ambrosia alikuwa anadandia mademu kama hana akili nzur
Back
Top Bottom