Recent content by wajingawatu

  1. wajingawatu

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Kwq mjengo kama huo 2m ni pesa mbuzi tu.
  2. wajingawatu

    Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    Kutumia pikipiki kutoka Dar hadi Rombo (620km) ni kama alijitakia kifo. Pia kuendesha pikipiki usiku kwenye barabara kuu nayo ni risk ya kujitakia. Yote kwa yote Mungu amrehemu.
  3. wajingawatu

    FT: NBC PL: Yanga 0-0 Simba | New Amaan Complex | 01.03.2026 | 08:15PM EAST

    Leo Simba anakaa tena kwa goli nyingi 5-0 halafu muanze tena zile kelele zenu na Mangungu.
  4. wajingawatu

    Mafuta safi ya alizeti jumla jumla

    25k/5lt nataka dumu 100
  5. wajingawatu

    Hivi mteja kama huyu unamjibuje?

    Simba kufungwa bao moja na Waydada
  6. wajingawatu

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Yeye hatakua anachukua kwa mwezi kwa kuwa atakuwa anakuza mtaji
  7. wajingawatu

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Akipata huo mkopo atajua ladha ya kila bia, wanawake na huenda akavuta hata kavitz au ist ka kutembelea bar za daresalaam. Atakuja kukumbuka utt, pesa zikiwa zimesalia laki tano tu. Chezea mkopo wewe!
  8. wajingawatu

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    UTT, kwa hiyo 50m, atakuwa anapata gawio la 433,000.= kwa mwezi. Kwa mwaka ~500k x miaka 9 = 45m +50m = 95m
  9. wajingawatu

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Nakushauri uachane na huo mkopo. Unaweza kufikiri 50m, ni pesa nyingi, lakini kwa hali ya uchumi ilivyo sasa, ni pesa kidogo sana. Badala yake save benki hiyo pesa ambayo ungelipia huo mkopo. Iweke kwenye fixed deposit account kwa miaka mitano. Tanzania commercial bank Baada ya miaka mitano...
  10. wajingawatu

    Zingatia yafuatayo kabla hujaamua kununua bati la kuezeka nyumba yako

    Kumbe simba dumu gauge 30 zinazokaa 16 kwa bando ni za kiwango cha chini?
  11. wajingawatu

    Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

    Kupigwa Elfu moja au elfu mbili nacho ni kitu cha kulalamika, kufungulia uzi? Isitoshe, wafanyakazi wote wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao.
  12. wajingawatu

    Cheki injini hii mtanikoma

    Mwambie kabisa aache hiyo tabia ya kudanganya watu ili kujitafutia ujiko
Back
Top Bottom