Recent content by wajingawatu

  1. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyabiashara wadogo Morogoro wanakumbana na Udalali wa maeneo ya biashara; wanalipishwa mara 5 zaidi ya bei halisi

    Hiyo ndiyo ile: kula kwa urefu wa kamba zetu tulioruhusiwa na Rais wetu. Wewe unayetusagia kunguni ni nani nchi hii?
  2. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Hivi kwa Tanzania ni mshahara kiasi gani unatosha? 1m au 2m au 3m au 4m au 5m?
  3. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ted Cruz anayetaka Marekani ituwekee vikwazo, sio Rio Ferdinand wa kumhonga tiketi ya ndege na hoteli

    Huyo Cruiser siju kurunzi hana lolote. Mhe. Sana waziri wetu mzee Kombo ameamua kutuma ndege yetu mupyaa Gulfstream 800 ikamchukue. Mambo ya ticket sijui nini hiyo ni saizi ya akina Drogba na Fedinandi
  4. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Madawa ya kulevya.

    Hivi hii biashara ya mkokaa aka mirungi imeruhusiwa hapa Himo? Himo mkokaa unauzwa nje njè. Au Lyimo ameruhusu wachaga wenzake wapige hela kwa gharama ya afya za watu?
  5. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mkopo

    Je, wakopeshaji simu hawawezi kutuma jina la huyu mwamba "kredit buro" ili wamtundike asipate mkopo tena hapa duniani wala mbinguni?
  6. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Nashukuru Mungu nimetimiza milion 200 yangu kwanza?

    Roba za mbao, mguu wa kuku na nini lakini 200m lmepatikana
  7. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania MUSWADA WA TED CRUIZ UTASAIDIA TULIO 40s KUSHUHUDIA ANGUKO LA CCM MUNGU TUSAIDIE.

    Naomba link ya hiyo "amsha popo" ya Ted Cruz
  8. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Siyo lazima niue ndiyo niwe muuaji. Unawafahamu "contract killers"??? Hawa ni watu wanaolipwa kuua kwa niaba ya mtu mwingine. Kwa hiyo mimi nikituma watu kwenda kuua watu wengine, literally na kwa jicho la kawaida, mimi sjamuua mtu na siyo mtu tu, sijawahi hata kuua sisimizi. Lakini nikuulize...
  9. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania ASTAGHFIRULLAH Niweke wapi sura yangu kesho mie !

    Vipi ule ushahidi wake wa hapa duniani na mbinguni aliwahi kuutoa?
  10. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Hofu ya jinai inaweza kutuingiza tena kwenye tishio lingine la usalama wa nchi

    "Nonesesi" (sensu kibibi wa kizimkazi)
  11. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Hiyo ni pesa ya kula mbususu tu
  12. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Mark Pompeo alimpiga Bashite ban ya kutoingia Marekani... lakini bado bashite analamba vyeo tu.
  13. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Dkt Ayub Rioba akana tuhuma za yeye kuwa chawa

    Kwa hiyo mzee Rioba kwa maono na mipango yako mizuri uliitoa tbc wapi na ukafikisha wapi? Je maono na mipango yako mizuri:. 1. Ilivutia watu kuipenda tbc? 2. Ilitengeneza program bora zaidi? 3. Ilingiza mapato mengi zaidi? 4. Iliacha kupata ruzuku serikalini? Kwa kukataa kwenda kanada na Namibia...
  14. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba: Ninaomba Serikali ichukue hatua ngumu kukomesha hii 'narrative' ya utekaji. Tutaharibu Nchi yetu nzuri bila sababu za msingi!

    Kwa hiyo wewe bwana 'RIOBO" umeandika upupu wote huo kumbe nia yako ni kuichafua chadomo.... Kwani chadomo ndiyo wanateka watu? Chadomo wana kiwanda cha pingu? Chadomo ni mafisadi? Mbona hujibu, si nakuuliza wewe?
Back
Top Bottom