Huyo Cruiser siju kurunzi hana lolote. Mhe. Sana waziri wetu mzee Kombo ameamua kutuma ndege yetu mupyaa
Gulfstream 800 ikamchukue.
Mambo ya ticket sijui nini hiyo ni saizi ya akina Drogba na Fedinandi
Hivi hii biashara ya mkokaa aka mirungi imeruhusiwa hapa Himo? Himo mkokaa unauzwa nje njè.
Au Lyimo ameruhusu wachaga wenzake wapige hela kwa gharama ya afya za watu?
Siyo lazima niue ndiyo niwe muuaji.
Unawafahamu "contract killers"???
Hawa ni watu wanaolipwa kuua kwa niaba ya mtu mwingine.
Kwa hiyo mimi nikituma watu kwenda kuua watu wengine, literally na kwa jicho la kawaida, mimi sjamuua mtu na siyo mtu tu, sijawahi hata kuua sisimizi.
Lakini nikuulize...
Kwa hiyo mzee Rioba kwa maono na mipango yako mizuri uliitoa tbc wapi na ukafikisha wapi?
Je maono na mipango yako mizuri:.
1. Ilivutia watu kuipenda tbc?
2. Ilitengeneza program bora zaidi?
3. Ilingiza mapato mengi zaidi?
4. Iliacha kupata ruzuku serikalini?
Kwa kukataa kwenda kanada na Namibia...
Kwa hiyo wewe bwana 'RIOBO" umeandika upupu wote huo kumbe nia yako ni kuichafua chadomo....
Kwani chadomo ndiyo wanateka watu? Chadomo wana kiwanda cha pingu?
Chadomo ni mafisadi?
Mbona hujibu, si nakuuliza wewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.