Recent content by wajingawatu

  1. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Uvumbuzi wa hovyo kuwahi kufanywa duniani

    Kwa hiyo hakutakuwa na haja ya kusoma tena au kufanya kazi. Mwendo utakuwa ni kula bata tu.
  2. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    Bila kuweka ushahidi hadharani tutaanimi je? Halafu kuweka lecturer wa Jalalani University kama ndiyo reference yako ndiyo imezidi kuififisha rhetoric yako.
  3. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Uvumbuzi wa hovyo kuwahi kufanywa duniani

    Tupe hayo maubaya ya AI mzee
  4. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Wajita na wakurya hawana hulka ya kujiuzulu kifalafala. Tafuta umbeya mwingine
  5. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Hebu tueleze, KKKT nao wako upande gani?
  6. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Unapotuambia mauzito yako unataka sisi tufanyeje?
  7. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania {Inadaiwa ni mkewe}: Kwanini mtu amchape hivi Mke wake? Hi si sawa na haikubaliki

    Wanawake wengine vimeo.
  8. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Nenda Kidimbwi halafu umalizie kitambaa cheupe. Hautajutia pesa yako
  9. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hii miradi imekukosea nini?

    Jhnpp inazinduliwa tarehe 21/8/26. Una la ziada?
  10. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na 10m Leo, utachagua kufanya nini kati ya hivi? Kufungua pharmacy AU duka la hardware AU kununua kiwanja? Kipi bora?

    Weka pesa yote simba na yanga watashinda mechi zao za leo. Utavuna 50m. Hapo tayari una mataji wa pharmacy, hardware na viwanja viwili. 10m inayobaki iweke UTT AMIS bond fund.
  11. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Asusiwa chakula msibani kisa huwa hali kwenye misiba ya wengine

    Hapo naona ndizi mbivu, chumvi, na kijiko bado pilipili tu menu ikamilike.
  12. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba: Kwa manufaa ya umma, kwa nini Tundu Lissu asiachiwe kama watuhumiwa wengine wa uhaini walioachiwa?

    KamaDPP akisema hana nia ya kuendelea na kesi au Rais akisema aachiliwe, inawezekana Lissu akaifungulia serikali kesi kwa: 1. kuishitaki serikali kwa kumfungulia kesi ya uongo? 2. Je, anaweza kudai fidia kwa kuwekwa gerezani bila sababu? 3. Kudai fidia kwa kupotezewa uhuru na muda wake? 4...
  13. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba: Kwa manufaa ya umma, kwa nini Tundu Lissu asiachiwe kama watuhumiwa wengine wa uhaini walioachiwa?

    . Kwa hiyo mmesahau hii kauli? "Kuliko Lissu awe mbunge bora nikose Urais"
  14. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Mzee wa Jalalani katika ubora wake.
Back
Top Bottom