Recent content by wajingawatu

  1. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wakija kukubali huu upumbavu ndo utakuwa mwisho wao.

    Chemchem tukisema hakuna mkate mgumu mbele ya billioni 5 muwe mnatuelewa. 1. Lemi tulimpiga na 1bn akadengua. Tukamuongeza nyingine akavuta usawa. Anakula mema ya nchi kwenye 5star hotels. Muulizeni Mange. 2. Mkurya tukamrushia 1bn yeye kanunulia magari ya bei mbaya. Jinga kweli hili 3. Ex MP...
  2. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

    Kitenge tulisoma naye MSc mass communication Oxford University 1998 hadi 2000. Baadae alienda MIT, USA, Kwa ajili ya MBA, na alipomaliza aliajiriwa ITV
  3. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI Mambo Makubwa 3 Yanaweza Kutokea iwapo hawa Vigogo kutoa Ushahidi Mahakamani

    Kesi itaendelea kama kawaida na Lissu atahukumiwa kunyongwa. Akikata rufaa watamzungusha hadi 2030 na mchezo utakuwa umeisha.
  4. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Lissu: Hakuna Kosa La kuzuia Uchaguzi na Wala Kukinukisha, Tusitishane

    Kama serikali inaweza kufanya ushenzi, ni kwa nini sasa isifanye hivyo bila kuitumia mahakama kuhalalisha matendo yake maovu?
  5. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Inakuwaje CCM wachovu kila siku wanashinda uchaguzi?
  6. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Simba isiyo na timu imempiga mtu goli 6 bila kupiga watu ngumi.
  7. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Pigeni na nyie na hao vijeba wenu wa kuokoteza aka saguraga/sagulaga
  8. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Mpira na SWAT sijui SWOT wapi na wapi. Ukweli lazima usemwa, na usindikizwe na ushahidi. Kwa yanga kumfunga vigoli viwili timu kimeo kama Gaberone united- tena kagoli ka bahati -inadhihirisha yanga ni wachovu pro maxxxx
  9. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania PAGALE LA vyumba 5, MASTER 4 – KIMANZICHANA MKURANGA | 18.5M TU

    Kwa wale mnaotaka kwenda kuishi porini, pagale la bei rahisi hilo.
  10. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa biashara kwa mtaji wa Tzs milioni 30–50 (Dar es Salaam)

    Akija mpeleke Kidimbwi kwanza akaoshe macho
  11. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Bora sisi tuna viongozi wenye vision ya upigaji, kuteka, na kupoteza watu.
  12. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania KFC SIELEWI kabisa

    Wewe endelea kula huko huko kwa mama ntilie. KFC, Macdonald, tuachie sisi
  13. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa biashara kwa mtaji wa Tzs milioni 30–50 (Dar es Salaam)

    Njoo na 2m hapa kitambaa cheupe nikupe michongo na biashara zenye hela
  14. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Magodoro mazuri

    Density ipi?
Back
Top Bottom