Bila kuweka ushahidi hadharani tutaanimi je?
Halafu kuweka lecturer wa Jalalani University kama ndiyo reference yako ndiyo imezidi kuififisha rhetoric yako.
Weka pesa yote simba na yanga watashinda mechi zao za leo. Utavuna 50m. Hapo tayari una mataji wa pharmacy, hardware na viwanja viwili.
10m inayobaki iweke UTT AMIS bond fund.
KamaDPP akisema hana nia ya kuendelea na kesi au Rais akisema aachiliwe, inawezekana Lissu akaifungulia serikali kesi kwa:
1. kuishitaki serikali kwa kumfungulia kesi ya uongo?
2. Je, anaweza kudai fidia kwa kuwekwa gerezani bila sababu?
3. Kudai fidia kwa kupotezewa uhuru na muda wake?
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.