Kuna umuhimu wa kuendelea kutawaliwa.ili watufunze cz inaonekana hatujakomaa kiasi cha kujiweza.mf,hatuna engineers wa kujenga lami?kama wapo wanafanya nini? Au ndo kusubiri waajiriwe ofcn.waite injinia wa jiji",manispaa.n.k.wachina wanaishi maporini kwny camp wanapiga kazi.sisi tupande V8,na...
Na Baadhi ya wavulana sasaaa! Wamekakaa mabinti,wamejilegezalegeza,visuruali wanavyovaa,vyembamba kama chupa ya soda.wanavyotembeaa sasaa!ETI Tz uti wa mgongo ni kilimo"nani wa kuwaza kilimo kizazi hiki cha wasomi wa ivi.poleni wenye maofisi yenu. Subirini wasomi wakuajiri
Vyuo vikuu almost vyote tz ,mambo ya ufuska kwa sasa imekuwa kama sehemu ya sylubus.fanyeni mabinti wng wakihitimu wanalivyo na hamu kubwa kwnda chuo,si kwa ajili ya kupata maarifa,wanaishia kununua nguo{takataka}hata wenye malezi mazuri wakifika chuo basi ndo ivo tena."AMA KWELI KANGA HATAGI...
Ttz kubwa watz ni kama vile wtt wa mama na baba 1.tumeumbwa na maneno mengi sn lkn waoga mno wa kuthubutu.hapa tunaoneshana uwezo wa kufikiri tulionao tu.ndio maana hakuna mpk sasa ktk hoja hi aliyetoa angalau mwanga/njia.me nashauri watu wenye nia ya dhati na wachapa kazi.tupange watu wengi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.