Recent content by Wainaina

  1. W

    Nataka kujua namna ya kuongeza size ya uume wangu

    Hahaaa hilo nalo neno. Kitu cha amira kimenifurahisha sana
  2. W

    majambazi wapora mamilioni na madini katikati ya jiji arusha

    Alopigwa risasi anaitwa abel na mwenzake alojeruhiwa anaitwa steven.
  3. W

    majambazi wapora mamilioni na madini katikati ya jiji arusha

    Mnakera bwana na habari zenu za uongo kila siku aaaagh. Wamechukua mfuko wenye ml 6 tu hawajachukua madini. Na wala sio majambazi wa 2 ni wa 5 na walikua na pikipiki 3. Wamemuua mtu m moja na kujeruhi mmoja
  4. W

    majambazi wapora mamilioni na madini katikati ya jiji arusha

    Kafa mmoja hapohapo na mmoja kajeruhiwa.
  5. W

    majambazi wapora mamilioni na madini katikati ya jiji arusha

    Kweli tunapenda habari ila sasa hii mitandao inatuchosha, , kila kitu mnaandika uongo. Kwanza sio majambazi wa 2 pikipiki zenyewe zilikua 3 iweje wawe wa 2? Kisheria mnastahili kusaidia serikali kwa uchunguzi. Mmejuaje alikua na madini ya ml90? Mtu anakufa akiwa mwenyewe tayari habari alikua na...
  6. W

    Aliyemuua bilionare Erasto

    Aliyekwambia erasto jambazi nani? Msichume dhambi kushuhudia msio wajua. Erasto anawapa watu mawe ya mamilioni ya pesa tena bila hata shida. Vijana wanazungusha pesa yake mpaka wanatajirika. Ni wangapi wamerajirika kupitia huyu mtu na tunawaona? Hadi wana ma hotel na wanaendesha ma sport mjini...
  7. W

    Aliyemuua bilionare Erasto

    Habari ya fitina haihusiani na hili jambo jamani. Wala huyo masai sio alotoa ushahidi wa kumfunga ustadh. Ushahidi tu wa cm unajitosheleza. Na kama pikipiki, sim card vilivyotumika vyote vina jina lake huo pia ushahidi wa masai? Tu sitetee ujinga. Leo wamefanya kwa huyu kesho itakua kwa nani...
  8. W

    Aliyemuua bilionare Erasto

    Sehem erasto aliyouliwa ni pembeni kabisa ya bara bara mtu yeyote angeweza kusimama wala sio porini.
  9. W

    Aliyemuua bilionare Erasto

    Acheni kupotosha aliye muua erasto sio mtu wake wa karibu. Swaibu na erasto wapi na wapi? Sharifu mtoto wa juzi kinuka mkojo tu ana ingiliana je na erasto? Ujambazi wa kijinga na wivu wa biashara wa kipumbavu na kumhisia mtu vitu vya kijinga jinga tu. Sharifu watoto wa dogo sana kwenye ligi ya...
  10. W

    Arusha na mabilionea majambazi

    Na wengine mna tu Changanya, kwani mtu ili aitwe bilionear anatakiwa awe na sh ngapi? Kama mtu ana zaidi ya b 3 kwenda juu si ni bilionear au? Kwa mfano mtu anayeweza kumiliki naura spring au sg resort hiyo ni hotel za ml 500 au ni bilion? Acheni wivu aliyenacho anacho na aliye kutangulia...
  11. W

    Arusha na mabilionea majambazi

    Wewe ni -------- na huna huna unachokijua. Umenunuliwa kuchafua watu majina. Ooo majambazi, ooo wanawala wake za watu na kuwapiga pc uliwashika mguu wakitombana? Ulishawahi kuona picha akiwa anamtomba mama ako? Tuwekee ushahidi wa hayo unayo sema. Wanadam ni wanyama mnasengenya hadi Marehem...
Back
Top Bottom