Recent content by Wahivihivi

  1. Wahivihivi

    Wakuu naomba kuuliza tcu wametoa posting kwa vyuo vyote.

    mimi ni mhitimu wa kidato cha sita sasa kila nikifungua akaunti yangu nakutana na meseji hii you reached this site because you have been provisional selected into one of the programe but name are still pending sasa sielewi Habari mtaani zimezagaa kuwa tayari zimeshatoka nawasilisha msaada tafadhali
  2. Wahivihivi

    Pacha wanaoshirikiana mwanaume, kazi, gari, kitanda

    mmoja akiwa period mwenzake anamsubili ili wapate dozi kwa pamoja
  3. Wahivihivi

    Ufisadi huu...hadi Kenya!

    inawezekan maana hata hapa mambo hayo yapo
  4. Wahivihivi

    Udom udom udom

    huyu demu wako ndo mbumbu huenda alikuwa anatumiwa na mkufunzi ili afauru mitihani lakini siyo wote wanamaliza pale wako hivyo
  5. Wahivihivi

    Wa hivi ni wachache sana; uwahi?

    angalia huyo ni sawa na mwekezaji anajua kuna siku utazilipa zote .hadi na za kwenye koti
  6. Wahivihivi

    Dar, Arusha na Mwanza, jiji lipi zuri kuishi

    Dodoma ndo kila kitu hadi wabunge wanapigania bungeni dodoma
  7. Wahivihivi

    Clouds hawajui tofauti na maana ya maneno: Fursa na hamasa

    Ndivyo walivyo watu wa hiyo redio na siku hizi wameishiwa na sera ni watu misifa tu ndo kazi yao kubwa na majungu
  8. Wahivihivi

    Kuku wa Nyama Mayai yasiyokuwa na Jogoo

    hatari sana mkuu ndo mana watu wa mijini siku hizi tumekuwa kama vichaa na magonjwa yasiyoisha
  9. Wahivihivi

    Kodi ya line za simu

    Haswa kazi yao ni kubishania hoja za kitoto mbungeni
  10. Wahivihivi

    Kodi ya line za simu

    Hivi jamani watanzani tunakwenda wapi kodi ya line za simu itatusaidia nini wakati vyanzo vikubwa vya mapata kama bandari vimejaa zegwe na sasa nchi zisizo na bandari zinatukimbia tunabaki kulazisha watu walipe kodi zisizo eleweka maana yake ni nini.
Back
Top Bottom