wataalamu wa kunusa tunasema hivi, wakili wa tiGo ameongea na Washitaki kuwa ataishawishi tiGo kukata rufaa halaf atashindwa kesi ili wasanii walipwe 4 Bilioni ili wamgawie yeye (wakili wa tiGo) 1Bilioni halaf wasaniii wabaki na 3Bilioni.
halafu mchezo utakua umekwisha.
Chuo kinajengwa maeneo ya Chidachi, yaan ni huu upande ambao kumejengwa hospitali ya DCMC kwa mbele kidogo baada ya kuvuka shule ya sekondari Ntyuka. Watu wamepigwa mpaka picha kuwa wanalipwa fedha zao halafu wameanza kuleta longolongo zao
Mhe. Rais na mgombea wa Chama cha mapinduzi, kunajambo yawezekana wasaidizi wako wanakuficha kuhusu migogoro ya ardhi katika eneo la ngome ya CCM Dodoma. Kumekua na migogoro ya kutengenezwa na ile iliyokuwa CDA ambayo uliivunja mara moja ili kuondoa Migogoro ya ardhi jijini Dodoma, Lakini kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.