Recent content by Wagabuli

  1. W

    Unazitukana hospitali za Magufuli halafu ukiumwa unakimbilia hapo hapo?

    kwa akili ulizonazo unakaa kwa shemeji kula kulala buree, dada yako anapigwa miti ukisikilizia!!
  2. W

    Kama Tundu Lissu ni msaliti, Watanzania tunahitaji wasaliti 10000 kama Lissu

    Ni kweli atazomewa!! ila atazomewa na vijana mnaokaa kwa shemeji zenu hadi mmefikia umri huu, na mama zeu wanaokaa pamoja nanyi ukweni. Ila shemeji zenu wanaolea kwa kuwa wamewachoka watamshingilia Lisu!! Jitambue kijana, siku shemeji yako akikushika tako ndio utajua maana ya kutojitegemea!!
  3. W

    Unazitukana hospitali za Magufuli halafu ukiumwa unakimbilia hapo hapo?

    Hata wewe mtoa mada ni mtoto wake kwa sababu alimtia mimba mama yako!!
  4. W

    Nakushukuru BABA Askofu kwa majibu yako mazuri,lakini bado nina maswali.

    Dada yangu nafikiri baadhi ya wachangiaji hawakuelewi, ila nimekuelewa sana na hoja yako ni ya msingi kabisa. kwa taratibu za kanisa Marehemu Dr Mengi alitakiwa kufunga ndoa baada ya kifo cha mkewe wa kwanza na si vinginevyo, maana kifo tayari kingekuwa kimewatenganisha. Na hapa hata kwa mjane...
  5. W

    Jesca Msambatavangu ndiye nyoka wa SHABA, CCM Iringa Mjini

    Dr Yaani ndani ya miezi minne uliyokaa Iringa tayari umeshafanya utafiti na kutoka na matokeo?? Miezi minne utibu wagonjwa na wakati huo huo ufanye utafiti? Nafikiri ulichoandika ni umbea na maneno ya vijiweni ambapo wewe ni mwanachama. Nachelea kusema kuwa wewe ni mtu wa ovyo, na hata napata...
  6. W

    Kuna siku Rais Magufuli atamtumbua maiti

    Issue sio kuchukuliwa hatua unapaswa kuelewa hoja!! achukuliwe hatua ikithibitika sababu kwa nini hakuwepo!! mtoa mada mmoja anasema Meneja alkuwepo nje ya Jengo alizuiwa na maafisa usalama, huoni mh kajitia aibu kwa kukurupuka!!
  7. W

    Kuna siku Rais Magufuli atamtumbua maiti

    Ndugu wana jukwaa Katika ziara yake jana Raisi wa Jamhuri ya Tanzania alimchukulia hatua za kinidhamu Meneja wa Tanesco mkoa wa Mbeya. Sababu kuu iliyomkasirisha Rais ni kukosekana kwa Meneja huyo katika ziara ya yake alipokuwa kwenye kiwanda cha cement cha Mbeya. Rais alinukuliwa akisema...
  8. W

    Mil 4 nizitumie kusafiri kwenda Nigeria kwa TB Joshua ili nirudiane na mke wangu Au niitumie kufungua kijiwe?

    mkuu kama uko Dar tukutane pale Calabash mwenge nikushauri vizuri, uje kwanza na walau milioni moja hivi!! leo jioni itakuwa powa zaidi
  9. W

    Anaandika Waziri wa zamani na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Dr. Anthony Diallo. Historia nzuri sana hii

    Hiyo simulizi wasimulie wasukuma wenzako wasiolewa kwa sababu hata mwanafunzi wa wa A level anayesoma uchumi anaweza kuulezea zaidi. sijui wana CCM mna akili gani jamani??
  10. W

    Kardinali Pengo: Watanzania wa dini zote mniombee

    Hata hapa nimetoka kukuombea Mungu akuchukue haraka iwezekanavyo ili usiendelee kulichafua Kanisa letu, RIP Pengo.
  11. W

    Nimekataa kumchangia ndugu yangu harusi yake mpaka atakapojua kuwa mimi ni nani

    Umenifurahisha sana ndugu!! Mi nina ndugu yangu mwana ccm nyumba yake inauzwa bank eti kaomba familia imchangie, jibu nililompa shetani tu ndio anajua!!
  12. W

    Philipo Mwakibinga wa WARAMI awajibu maaskofu wa KKKT; adai wanatumiwa na CHADEMA

    we kaanglie tundu lako unalojambia litakuwa wazi!!
  13. W

    Zitto Kabwe: Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla

    Ndugu yangu Zito ajifunze zaidi kuhusu Russia, ameandika asiyoyajua, kwa mfano Putin alikuwa KGB wakati wa USSR ila kwa Russia hakuna KGB tena. Uhuru wa habari haujabanwa kabisa, sijui anaizungumzia Russia ipi?
  14. W

    Hodii !!!!!

    Karibu sana Binti!!
Back
Top Bottom