Tutamuelewa tu kama kweli yy ni tofauti na wale,lkn sio kuwakamata wakurugenz makampuni ilihal wimbo wa nani mafisadi,majangili etc unaimbwa hadi na mkulima duni aliye kijijin
Ndege wanaofanana huruka kwa pa1!sioni sababu kutumia nguvu kuaminisha umma ati nyie wazalendo,tunachotaka kuona ni matendo,halafu kuweni makini na aina ya watu mnaowashabikia isewe mlikua na nia njema mwisho mkaonekana wote wapigadili.
Sawa anaweza akapewa kibali awekeze!!lkn achunguzwe kwanza isije kuwa hata hizo mihela anazotaka kuzitumia kuweza zina senti zisizohalaliza watz ndani yake.
Nafkr watz wengi watamuelewa raisi kama atawajibsha mawazr na watt wa vigogo kuliko kutudanganya na hawa watu huku chini.Mafisadi wakubwa wanaosababisha ni hao wakuu,hawa wanashirikishwa na mgao wao kidogo tu.
Nikuunge mkono,huku Ar ndo haswa kitendawil,nahisi mvua zinanyesha ila bd hawajazungumzia,kaulimbiu ya sasa ni umeme wa gesi,sfahamu kama ile mitambo ya maji bado ipo........!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.