Kwa kweli ttatizo hili linazidi kukua siku hadi siku, sikuwahi kufikiria kuwa ningesikia au kumuona mtu ninayemfahamu ambaye ni shoga lkn nilihuzunishwa sana na taarifaza jamaa ninayemfahamu kabisa kuwa na yeye ni shoga. Nadhani serikali itunge sheria kali ya kudhibiti jambo hili la sivyo...
ukiona mtoto wa jirani amekutukana ujue si bure ametumwa na mzazi wake. Nape amepata wapi ujasiri wa kumsema Kawambwa tena wazi wazi? Hili nalo ni picha jingine nataka kuona mwisho wake, je JK ataweza kuwatosa watoto wa kwao? Na je kama waliokuwepo wote akili zao zimedumaa, nani ataweza kuziba...
Hivi hawa watu wanatokea wapi wasioitakia mema nchi yetu, akili zao sawa na funza waliozaliwa katika vinyesi! Nashangazwa kuona bado kuna watu wanapigania ili kuona matakwa yao yatalindwa milele, hilo haliwezi kutokea hata kama haki itachelewa lkn itapatikana tu. Watu wanaotegemea kubebwa siku...
Navipongeza sana vyama vya siasa kwa ukomavu uliooneshwa, hakika sasa wanaonekana kuelewa maana ya vyama vya upinzani. Vyama hivi vikiungana kwa dhati hakika magamba wana wakati mgumu, ila tatizo moja tu hawachelewi kugombana tena.
Sitaki hata kusoma michango ya wengine mmezungumza nini. Kwenye hili naomba niunge mkono msimamo wa serikali tena ikibidi iongezwe hata mara tatu ya hiyo gharama, kinachoendelea sasa kwenye vyuo binafsi na mashule binafsi ni uzuzu na wala sio kuangalia ubora wa walimu. Walimu wengi wanaoletwa...
Kwa taarifa ya habari ya channel 10 wameachiwa kwa dhamana na kosa walilokamatiwa ni kuzidisha muda wa mkutano wa hadhara. Polisi wananishangaza sana kwasababu huwa wanaingilia mambo yasiyowahusu na yanayowahusu yamewashinda. Hatujaona wala kusikia au kupewa majibu ya nani alimmwagia Tindikali...
Hivi Tanzania ina tofauti gani na nchi zinazosemwa kuwa hazina demokrasia na mataifa ya magharibi? Kwa kifupi tumeshindwa kuonesha kwa vitendo maana ya democracy lkn siku hazigandi wakati utafika watakapojuta waliogeuza dhamana za vyeo vyao kuwa ubabe, utemi, dhuluma nk. Naisikitikia nchi yangu...
Ni vizuri kuanika majina yao kama utaratibu unavyoendelea kwa hili nampongeza sana Mwakyembe lakini baada ya kuanika majina nini kitafuata? Tunataka washughulikiwe ikibidi tufungue mahakama ya mihadarati kama mahakama zetu za kawaida zinaelemewa na kesi hizo.
Hongera mpambanaji Zitto kwa jitihada zako na wanakamati wenzio. Kimsingi tatizo la ukusanyaji mapato hapa nchini ni kubwa kuliko hata tunavyolifahamu.
Kwanza chombo tunachokiamini kukusanya mapato kimekuwa na mtandao mkubwa wa kujipatia mapato mifukoni mwao na sio kwa taifa, pale airport...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.