Wakati mwingine viongozi wetu wafikirie basi kwa kutumia kichwa,hivi ukiteuliwa na ukavurunda kwenye kazi anayewajibika ni aliyekuteuaaa au wewe uliyeteuliwa?!
Mbona tunataka kuweka siasa siasa tu kwenye kila jambo?!,Dk Mwakyembe aliteua akamaliza akakabidhi watu kazi wameharibu sasa lao...
Wewe ni nani??! Umezoea kudanganya watu na wanaokusikiliza uongo wako ni wale ambao wana akili za kitoto!!Kila kitu unajifanya unajua fyuuuuuuuuu kuna wakati mnaudhi sana badala ya kujikita kwenye hoja mnaanzisha hoja za kijinga ili kupotosha maana !!!!! Sijui mtakuwa lini na kuachana na huuu...
Wakati mwingine ni ujinga sana kueleza jambo usilolijua
Tambua kwamba StarTv na RFA ni vyombo vya mtu binafsi na ni kwa ajili ya biashara,havina ruzuku kutoka popote pale??!!
Ninavyojua mm ni kwamba ccm wamepeleka matangazo hayo ambayo wewe unasema ni kashfa sijui matusi yamelipiwa na serikali...
Pasco!!
Kuwa ccm au chadema a.k.a ukawa sio kosa!!
Kubwa hapa ni kuangalia content Brother!!
Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba mnataka kulazimisha watu wakubaliane na nyie kila kitu na anaepinga basi huyo ni ccm.
Kwa akili ya kawaida ukiona mwanaume analazimishwa kuoa mwanamke asiye chaguo...
Niliwahi kusema kwamba bado hatujapata viongozi wenye mpango wa dhati na akili ya kuiondoa CCM madarakani!
Kwa bahati mbaya sana hata baadhi ya wananchi wamekuwa mashabiki na washadadiaji wa siasa lakini hawajui siasa ni nn na nafasi yao ni ipi katika siasa!!!
CCM bado itaendelea kutawala nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.