Recent content by WABHEJASANA

  1. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Hatutapinga kila jambo, Rais Magufuli anafungwa mikono na Kamati Kuu ya CCM

    Wakati mwingine viongozi wetu wafikirie basi kwa kutumia kichwa,hivi ukiteuliwa na ukavurunda kwenye kazi anayewajibika ni aliyekuteuaaa au wewe uliyeteuliwa?! Mbona tunataka kuweka siasa siasa tu kwenye kila jambo?!,Dk Mwakyembe aliteua akamaliza akakabidhi watu kazi wameharibu sasa lao...
  2. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Kubenea apandishwa Mahakamani leo

    Safari hii tutaheshimiana Tu kwa sbb mlishaona hii nchi Ni yenu mnaweza kutukana mtakavyo na kufanya mpendavyo.
  3. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Damu Group O positive

    Wewe unao uwezo wa kuwaongeza magroup yote isipokuwa wewe ni lazima umpate mwenzio mwenye group hilo!!
  4. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    Ongea kama mtu mwenye akili timamu mbona unajiabisha sana dogo??!!
  5. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye anahitaji udhibiti wa kichama wa haraka, atatudhalilisha!

    We mwenyewe kilaza kajifunze kiswahili kwanza ndio urudi kuwekaa mabandiko yako hapa nini maana kumkabizi??!!
  6. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    Mbona haujamtaja sasa toka nyuma ya keyboard umtaje vinginevyo na wewe utakuwa ulihusika kwenye mauaji hayo!!!
  7. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    Na wewe ndio utakuwa wa kwanza kulipuliwa!!
  8. WABHEJASANA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Malawi Vs Tanzania Oktoba 11, 2015

    Gudi gudi ......
  9. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Wewe ni nani??! Umezoea kudanganya watu na wanaokusikiliza uongo wako ni wale ambao wana akili za kitoto!!Kila kitu unajifanya unajua fyuuuuuuuuu kuna wakati mnaudhi sana badala ya kujikita kwenye hoja mnaanzisha hoja za kijinga ili kupotosha maana !!!!! Sijui mtakuwa lini na kuachana na huuu...
  10. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Star Tv na Radio Free hii kweli ni siasa? Au mnataka kuingiza nchi vitani?

    Wakati mwingine ni ujinga sana kueleza jambo usilolijua Tambua kwamba StarTv na RFA ni vyombo vya mtu binafsi na ni kwa ajili ya biashara,havina ruzuku kutoka popote pale??!! Ninavyojua mm ni kwamba ccm wamepeleka matangazo hayo ambayo wewe unasema ni kashfa sijui matusi yamelipiwa na serikali...
  11. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Unayajua Makundi Manne yatakayoifunga breki Safari ya Lowassa?

    Pasco!! Kuwa ccm au chadema a.k.a ukawa sio kosa!! Kubwa hapa ni kuangalia content Brother!! Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba mnataka kulazimisha watu wakubaliane na nyie kila kitu na anaepinga basi huyo ni ccm. Kwa akili ya kawaida ukiona mwanaume analazimishwa kuoa mwanamke asiye chaguo...
  12. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Unayajua Makundi Manne yatakayoifunga breki Safari ya Lowassa?

    Niliwahi kusema kwamba bado hatujapata viongozi wenye mpango wa dhati na akili ya kuiondoa CCM madarakani! Kwa bahati mbaya sana hata baadhi ya wananchi wamekuwa mashabiki na washadadiaji wa siasa lakini hawajui siasa ni nn na nafasi yao ni ipi katika siasa!!! CCM bado itaendelea kutawala nchi...
  13. WABHEJASANA

    JamiiForums Tanzania Ushauri: CHADEMA muogopeni Mungu juu ya Edward Lowassa

    Haya maneno@ram ungemwambia mamvi ingependeza sana!!
Back
Top Bottom