Kwa hiyo usiku wa saa saba umeona mtu wa kuandika matatizo ya watanzania ni Pasco
katika watu milioni 70 wa nchi hii, moyo wako, akili zako, hisia na matamanio yako ni kuwa Pasco aandike jambo kuhusu kupanda bei!!!!!
1.umeonyesha udhaifu mkubwa, wewe hauwezi kuandika? Au ni vile unajiona ni...
Wasaidizi wa Putin ni wabaya na wana hasira sana
putin yuko so composed, considerate na humanity , nje ya hapo...London,madrid, paris kungekuwa na watu wanatema vumbi saa hizi...
Abaki hai tu
Naona history hauijui
Putin sio mbabe, mpole kabisa na humanity
nato na usa walimchukulia poa
Weka akili zako kwenye ukweli, utakuwa na akili njema kuliko kufuata mkumbo
Why nilikane mkuu
Hii ni imani yangu, msimamo wangu, mtazamo wangu, na mpaka kesho nasimamia hili
Kitu gani kimekufanya uhisi nitalikana?
i am genuine, nasimamia ukweli wa ukweli na siangalii mtu au watu..
Anzisha chama chako
CDM sio chama cha siasa
Wala hawana mpango kuchukua dola,
Wala hawawezi kuchukua dola
Weka akili na moyo , nguvu, energy kwenye vitu vya maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.