Sijui mengine ya ushindi ila mdau anazingua saana,cheki hizi michapio
1.mgombea urais kufa alafu kampeni na uchaguzi uko palepale,kweli mtu wa levo ya udokta hajui nini hutokea kifo cha mgombea kikitokea?
2.sadam rais wa kuwait!
3.madini ya bati hutengeneza mabati (huyu nais alikua anakariri...
Ivi ajali hiyo haichunguziki???maana aliwai kusema kuna wanyarwand kibao wameingizwa na ka.....,ila Mungu awatie nguvu family yake..japo nae alisema maneno ambayo yaliwakwaz family ya lowasa.siasa si matusi
Registration huchukua almost two weeks na vyuo vingin huwa wanautaratib wa kuongezewa watu muda karibu na UE ili ataambao hawakulip ada walip na kupta usajili ,,kwa kweli kuhama ni ngumu kiliko kawaida asa kwa mazingira ya bongo(rushwa),na pia shindani hivyo chuo km SUA kua na nafsi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.