Recent content by Vyura99tu

  1. V

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira: CCM haina chuki wala visasi, inaamini katika maridhiano

    Mzee wetu Wasira kwa Heshima na taadhima kutoka moyoni haya sio Demokrasia. Hebu achana na kungangania wako vijana wengi sana ndani ya chama na hata nje wanaweza kufanya hii kazi pumzika ukawa mshauri japo na ushauri wako ni wa generation ya 1940 haijengi hili Taifa na mteuaji hebu tafakari pia.
  2. V

    JamiiForums Tanzania Tegemea hili kutokea juu ya Tundu Lissu hivi punde

    Kauli ya Ijumaa Kuu Matesonya Yesu Kristu. Nanukuu. " Kama nimesema Uongo toa ushahidi huo wa uongo. Na kama nimesema kweli kwanini wanihukumu". Watawqla Tafakarini haya yanayojiri. Tunatarajia ujumbe mahususi wa TEC na Kanisa Katoliki hii Pasaka ya ufufuko wa Yesu Kristu.
  3. V

    JamiiForums Tanzania DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

    Wewe ni poyoyo na mpumbavu alishangilia wapi akiwa kitandani Hoi. Huna hata haya!!
  4. V

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sitarajii kuona Mahakama inaingilia maamuzi ya Tume Huru ya Uchaguzi

    Nani amekudanganya Kuna kitu inaitwa Tume Huru ya uchaguzi!! Wanani waliomba hiyo kazi? Hao si wateuliwa wa mwenye mamlaka!! Sasa imekuwaje huru. WaTanzania tuamke.! Ucha kupumbaza!!
  5. V

    JamiiForums Tanzania KWA HERI CDM LALA UNONO, UTAAMKA TENA 2030 CHINI YA MWAMBA!

    Kwa msingi huo una maana ulitaka kuona mauaji yakiendelea! Basinwauwane wenyewe kwa wenyewe hivyo vyama 18 ndio gani hivyo ukiacha ACT Zanzibar sanasana.
  6. V

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kukamatwa Kwa Lissu Mbele Ya Wafuasi wake ni Ushahidi kuwa CHADEMA haina nguvu ya Umma na wala haiwezi kuzuia Uchaguzi kwa nguvu ya Umma

    Ni Mpumbavu na msaka Tonge na Chawa anaweza kukaa chini na kuandika upumbavu kama huu.
  7. V

    JamiiForums Tanzania Sehemu Gani hapa Dar weekend wanaonesha cinema??

    Njoo huku COCO Beach zipo maeneo. Pia KIDIMBWI zipo.
  8. V

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ‘Bon Yai’ Meneja Kampeni wa Freeman Mbowe, ajiunga na Kambi ya Tundu Lissu.. No reforms, no Election

    Wazo kuu ni kurudisha nguvu yapamoja baada ya uchaguzi haya ya kufukuzana yanayoka wapi. Wajenge Chama.
  9. V

    JamiiForums Tanzania Stand za Mabasi Kahama Mjini ni AIBU ya Taifa kwa niaba ya CCM

    Hizo pesa halmashauri mnakusanya Inaenda kwa mifuko tuuh!! Daaah nchi inatafunwa!.
  10. V

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche John: Aliyempiga Siglada (BAWACHA) achukuliwe hatua za kisheria

    Huhitaji kulialia kiwango hicho ni kutafuta huruma?? Pole kwa hilo na punguza munkari yafanyiwe kazi.
  11. V

    JamiiForums Tanzania Trump aifuta wizara ya elimu.Kisa walimu wengi wanakiunga mkono chama cha Democratic.Mfumo anaoutaka ni K-12

    Si kweli amefuta kwa sababu hiyo. Uwe unasoma kwa undani na usikilize kile kilisemwa. Usipotoshe.
  12. V

    JamiiForums Tanzania PICHA: Mwenyekiti wa CCM Taifa Cde Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza kikao Cha Halmashauri Kuu kwa Mafanikio Makubwa

    Hapo walipogusia ukomo wa madaraka au ukomo wa wabunge wa kuteuliwa/viti maalumu ilikuwa hoja na azimio la wqpinzani CHADEMA walivyokosa hoja walishaidaka tayari. Kweli CCM mmeshindwq mkubali tu. Si bora mkaja na hoja ya Katiba mpya na Tume huru mkaachana na mauzauza!
  13. V

    JamiiForums Tanzania Wakristo wengi wanadanganywa kuwa kupeleka pesa na mali kanisani ndio kumtolea Mungu sadaka!

    Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Ila na tukumbuke hizi sadaka mfano unaenda kutoa sadaka ya mfano elfu 20 au Michele kilo 50! Wakati jirani yako anaumwa au hana hata mlo wa siku ni shida lakini kumpea hata elfu 2 au Michele kilo 2 inakuwa vigumu. Mgonjwa anahitaji kununua dawa na hana hela...
Back
Top Bottom