Recent content by Vyeria

  1. V

    Mara nyingine maisha ya ndoa ni Vita. Huyu jamaa sijui nimfanyeje?

    Be blessed kaka, wewe ni mwanaume na nusu
  2. V

    WanaJF wenzangu tumekuwa tukisaidiana kwa mawazo na mambo mengine mbalimbali naomba mnisaidie na hili tafadhali

    Kuomba siyo solution ya kudumu, we ni mwanaume komaa, wanawake wenyewe huwa tunapitiaga hizo hali tunakomaa na kutoboa unatoboa Kwanza una mtaji wa mke ambaye hana kazi - mtumie Katika hela uliyonayo mpe elfu 20 atanunua unga wa kutosha na mafupa apike chapati au maandazi,viazi vya kukaanga au...
  3. V

    Aggrey Mwanri: Mungu amshukuru Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayofanya

    Kuna mungu anamzungumzia, si lazima awe Mungu mnayemfikiria. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. V

    Kwa watumishi wote wa Umma Tanzania....

    Dah mbona tunazidi kuisoma namba wajameni Sent using Jamii Forums mobile app
  5. V

    Natafuta mume mwema

    Habari zenu wana jamii forum Mwenzenu natafuta mume, mtaani wapo wanaokuja lakini bado sijapata tunayeendana kitabia. Nimeona nijaribu na huku Sifa zake 1.Mume Mkristo aliyeokoka 2.Mchapakazi 3.Mrefu, age 30 na kuendelea Mimi Miaka 28 Elimu ya chuo Mchapakazi Mcha Mungu Karibu pm...
  6. V

    Nifanye kazi gani nipate laki tano kwa siku 30?

    Nimeshindwa kuku pm, kuna shida
  7. V

    Nifanye kazi gani nipate laki tano kwa siku 30?

    Hizi ni kauli za watu wenye wivu Tu, hunipi tabu wa aina yako hata kwetu wapo
  8. V

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Mwanaume rijali awezi kuongee maneno haya Usijaji mtu kwa past yake . Nikutakie kila la heri unayefikiri ciyo single maza ni mama za marehemu Haha
  9. V

    Nifanye kazi gani nipate laki tano kwa siku 30?

    Mmh mara niliwe hapana huo mchezo big noooooooo
Back
Top Bottom