wivu ni kidonda ukishiriki utakonda.nikajua jamaa kachukua vipande vya video kapachika kwenye kidogo.video nyingi sana watu wanatoa barabarani,beaches, maghorofani,airport,hospitals etc. just depends on the content of the song.kama ndo hivo basi video zote duniani watu wanaigana.mleta thread na...
inaonekana humu ndani machoko mpo wengi thus wy mnateteana.ila mtatafuta sayari yenu mkaishi huko.issue ya sigara siyo kutovuta ila hairuhusiwi kuvuta publicly. acha kutoa mifano weak ya kina Obama.
tz haijafikia hali ya kuwa kuna genge linalojificha ktk dola liwatishe raia alafu kusiwe na hatua yoyote otherwise unambie rais ndo anaratibu hilo kundi.so far Ali raia wa kawaida na kama kuna issue ya kumdhuru wangekuwa weshamdhuru.zaidi ya hapo mkuu dizain unatulisha tango pori.
kuna sehemu mond katupia kimasai sema kamera ilimbania pale katikati ya wimbo nilipenda aonekane sana na yale mavazi then aruke ruke hivi.off course beat ni zito sana na mond sauti yake kama inasikika kwa mbali hiv japo siyo case haibadilishi ukali wa nyimbo na video yake.
tena wewe sijui mponda wa mtwara kutwa nzima mnashinda madrasa alafu iq ni ndogo sana.95% mnafeli wenyewe kisa kushinda ngomani sasa mnaforce muwe na bonus marks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.