Recent content by vuruneti

  1. V

    Tetesi: Rais Magufuli Kufanya Ziara Mkoani Kilimanjaro

    so kwa tafsiri rahisi you mean mh.rais anatoa ahadi kwa kujambishwa.come on!
  2. V

    Makala champion: Diamond anavyoandaa sherehe ya siku ya kifo chake

    wivu ni kidonda ukishiriki utakonda.nikajua jamaa kachukua vipande vya video kapachika kwenye kidogo.video nyingi sana watu wanatoa barabarani,beaches, maghorofani,airport,hospitals etc. just depends on the content of the song.kama ndo hivo basi video zote duniani watu wanaigana.mleta thread na...
  3. V

    DAR: RC Makonda atangaza vita dhidi ya mashoga. Atishia kuzifuta asasi zinazowatetea!

    inaonekana humu ndani machoko mpo wengi thus wy mnateteana.ila mtatafuta sayari yenu mkaishi huko.issue ya sigara siyo kutovuta ila hairuhusiwi kuvuta publicly. acha kutoa mifano weak ya kina Obama.
  4. V

    Raymond - Natafuta Kiki (WCB new song)

    kiukweli kabi dogo unajua sana na kinachomsaidia anachana sana sema soko la hip-hop kibongo ndo hivo akaamua aimbe.
  5. V

    Legend AY: Tunaomba uwakutanishe Ali Kiba na Diamond ili kuokoa ugomvi wa mashabiki

    tz haijafikia hali ya kuwa kuna genge linalojificha ktk dola liwatishe raia alafu kusiwe na hatua yoyote otherwise unambie rais ndo anaratibu hilo kundi.so far Ali raia wa kawaida na kama kuna issue ya kumdhuru wangekuwa weshamdhuru.zaidi ya hapo mkuu dizain unatulisha tango pori.
  6. V

    Mabibi na Mabwana nawaleteeni Colours of Africa

    kuna sehemu mond katupia kimasai sema kamera ilimbania pale katikati ya wimbo nilipenda aonekane sana na yale mavazi then aruke ruke hivi.off course beat ni zito sana na mond sauti yake kama inasikika kwa mbali hiv japo siyo case haibadilishi ukali wa nyimbo na video yake.
  7. V

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Do you have a new offensive?
  8. V

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    kweli kabisa siku hizi tunapishana na watoto wa fb humu ndani hata sijui wanatafuta nini.
  9. V

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    huna hoja kaa kimya.mtu mzima unabaki na uharo uharo kwani unaharisha?
  10. V

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    tena wewe sijui mponda wa mtwara kutwa nzima mnashinda madrasa alafu iq ni ndogo sana.95% mnafeli wenyewe kisa kushinda ngomani sasa mnaforce muwe na bonus marks.
Back
Top Bottom