Nenda kariakoo sokoni jengo la sandaland the only one shuka ngazi basement kuna mwarabu ana duka pale hutajuta ana dawa ya meno kutoka Indonesia inakata kabisa.
Hivi umoja wa BRICS huwa kazi yake nini endapo member anapovamiwa na kuchezea kichapo au kazi yao ni kushikana mikono wapige picha mambo yaishe nilitegemea waingie kumsaidia Putin
Hiyo kama ina sensor ya auto kuwasha fen engine inapopata joto ikifa ndio huwa hivyo ukiwa speed engine inapoa mshale unashuka ila ujiwa folen au silencer mshale hupanda mpaka juu badilisha hiyo sensor.
Rusheni tena kinzhal muone zinakaangwa angani mbona tok siku ile mliporusha 6 hamjarusha tena ninaibu tupu na wale scientists wa hypersonic waliokamatwa ninkwajili gani hahhaha aibu yenu aisee.
Sasa mbona walipiga vyanzo vya umeme kipindi cha baridi kule kyiv walikuwa wanampiga Nato kule wewe ni chenga itakuwa umevamia hii vita hujui ilianzia wapi
Safi nilitamani waryshe kinzhal zingine tuone wao si wanasema wameharibu waendelee kurusha maana hizo AD kuletwa hapo kyiv walikuwa wanaoiga vyanzo vya umeme na maji ambapo sasa hivi hatusikii umeme kuzimika yani Patriot iko moja inawapeleka zikija 10 itakuaje US noma.
Kama mmeziharibu endeleeni kurusha makombora basi maana aim ya kuleta Patriot nikuzuia mashambulizi kwenye vyanzo vya umme na maji katika mji kyiv sasa kama mmeharibu endeleeni kurusha drone na hizo kinzal basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.