Recent content by vonteper

  1. vonteper

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Ocampo four what na hell u argue for maana hata kwa mawazo tuu uhalisia unaonekana lini utaacha kupandikizwa giza kwenye mishipa ya fahamu ...??
  2. vonteper

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Chis ...namaana ukijumlisha mashabiki wa wasanii wote bongo ukitoa wa magufuli watabaki wengi zaidi ya wafuasi wa lowasa Edo ana wafuasi hana mashabiki Ccm ina mashabiki haina wafuasi tena mashabiki wa wasaniii si mgombea ...
  3. vonteper

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Yaani mimi hii serikali yakuchora magari na ramani za miji nataka ife iletwe inayoweza kuunda si kuchora tena bwana ...
  4. vonteper

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Kwa utafiti waliofanya twaweza ambao ni pilot study isiyo na uhalisia meamsha hisia za wengi kupinga kile kilicho tolewa kama matokeo ya tafiti za simu Madhaifu yao yananonekana kuegemea tabaka moja na sii kusimama kama taasisi Hawajasema wamehoji watu wenye umri gani na sababu zakufanya hivyo...
  5. vonteper

    Raisi george bush ni sawa na watanzania milion 20 kwakufikiri. Ona siasa hizi

    Wakati wa kampeni wagombea wamekua na ahadi nyingi sana zisizo tekelezeka.wanano nifurahisha ni hawa ambao wameshika serikali kwa sasa wakiwa na kauli hizi 1.Tutawalipa waalimu madai yao ya mishahara.-kwa sasa wapo madarakani si waanze kulipa 2.Elimu bure kwanini kesho wasitangaze kuanzia sasa...
  6. vonteper

    Manguli hawa ndio walioigawa CCM

    Wakati ASP NA TANU wanaungana walitengeneza chama kinoja kilichokua na kiongoz mpenda haki baba wa taifa mwalimu jk nyerere Lakini alikabidhi chama watu wasio weza kusema hapana kuhusu rushwa kwa dhati wanatamaa nyingi na rasilimali za nchi hii Alio gawana ccm ni maraisi walio fuata kwenye...
  7. vonteper

    Wananchi walishwa unga wa ndere...!

    Days are numbered ...hilo lipo wazi ni mithili ya bianadamu aliye zaliwa na mwanaamke ili hali akijua kifo kipo.. Tumetawaliwa na hofu,mashaka na woga wa tusiyo yajua kwa kile walicholishwa wananchi ..na chama tawala. Wananchi wameaminishwa kua tanzania ni ccm, tanzania haiendeshwi bila...
  8. vonteper

    Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

    Moroco inazungumza mm yangu kura tuu whether he will win the election and bring changes...or not bring development i will choose ukawa to show them tanzania is for every one not for ccm only.
  9. vonteper

    huyu ni mtoto wa mama ntilie ndani ya ccm...

    Ndugu jamaa na marafiki inanichukua muda sana kumtafakari huyu jamaa Nape ..namwona ni mtu asiye ijua siasa kabisa na cheo alichonacho hakilingani na upana wake na undani wa siasa iliyopo.. Ningependa nifahamishwe tuu huyu jamaa anaelimu gani ..? ...na siasa aliianza lini? na hivi kua mwenezi...
  10. vonteper

    Mbinu mpya siasa chafu

    Katika harakati nzima za CCM kuelekea Oktoba 25 wanafanya kila jitihada kuhakikisha wanawaaminisha watu juu ya mambo kadhaa yakiwemo haya. 1.Wanaimani na pombe katika kuisaidia Tanzania, hii inaonyesha miongoni mwa timu ya mafisadi hamna mtu mwingine wangeweza kumwendesha ila John tuu, hebu...
  11. vonteper

    GE2015 Picha: Tulichokishuhudia katika mapokezi ya Magufuli Jijini Mwanza, upinzani unafutika

    Ha ha ha ha ha kweli misemo ya wahenga inaaplication nyakati hizi.....mfa maji haachi kutapatapa...naona mamia waliompokea kweli kama sio makumi....ha ha ha huo kwako umeona ni mwanzo mzuri na hata hujalinganisha na mapokezi yoyote ya chadema mkoani hapo...this is unrealistic mjomba.penye wengi...
  12. vonteper

    GE2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

    Your arguments are clear but you have to ask on your own what is politics.what is he doing really politics.take time to use little knowledge you have to bring possitive impacts to those who surpport them.We are best in narreting stories than put into action the big facts we have to disqualify them.
  13. vonteper

    Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

    Unaelimu gan wewe mbona kama mvimba mmacho unatafuta kiki humu ongea vya maana achana na kupambanisha udin kama wanajua pigana zanzibar walishindwa nn kufanya mapinduzi mpaka mganda anawasaidia wanaume wamevaa kanga wakajifungia ndani ..usitengeneze maneno unayoyafikiri wewe. Umefell bro no...
  14. vonteper

    Uchumi wa Tanzania haujatetereka kwenye dola watu wanatumia Yuan - 80% bidhaa ni China

    Daaa kweli huyu kala buyu uchumi akili za darasa la kwanza unadanganya form four hizi hadithi za kuku kamla simba acheni jaman.
  15. vonteper

    Hofu, Mashaka, Wivu na Upotoshaji dhidi ya Brigedia Nyekundu-Majibu

    Haki haiombwi inatafutwa hata mwenyechama cha ccm alishasemaga.sasa tusikae kuomba haki kutoka kwa wanyonyaji hawatakupa watoa mashart mengi ila ukiitaka unapambana kuichukua haya red brigeds wanapambana kutaka haki wanayo gawana ccm itarudi tuu one time
Back
Top Bottom