vonteper
Member
- Jan 29, 2015
- 24
- 9
Ndugu jamaa na marafiki inanichukua muda sana kumtafakari huyu jamaa Nape ..namwona ni mtu asiye ijua siasa kabisa na cheo alichonacho hakilingani na upana wake na undani wa siasa iliyopo..
Ningependa nifahamishwe tuu huyu jamaa anaelimu gani ..?
...na siasa aliianza lini?
na hivi kua mwenezi wa ccm lazima uwe mropokaji?
..hapa ndipo napo tambua mtto wa mama ntilie hata alelewe ikulu utamjua tuu.
Kwelii wanako elekea ndo ule mda wakulia na kusaga fizi maana hata meno hawana tena ...kuhani yupo kwenye zamu vzr people..............
Ningependa nifahamishwe tuu huyu jamaa anaelimu gani ..?
...na siasa aliianza lini?
na hivi kua mwenezi wa ccm lazima uwe mropokaji?
..hapa ndipo napo tambua mtto wa mama ntilie hata alelewe ikulu utamjua tuu.
Kwelii wanako elekea ndo ule mda wakulia na kusaga fizi maana hata meno hawana tena ...kuhani yupo kwenye zamu vzr people..............