Wapalestine watabaki pale pale, na ipo siku ambayo Israel watalipa kwa udhalimu wanaoufanya. Kama kuhama wao ndo wahame mana wao ndo wavamizi wa ardhi ile.
Kiukweli tu watanzania wanshindwa kutofautisha heshima na kipaji. Sugu kipaji cha muziki hakuna ila heshima anayo na yote ni kwasababu wakati wanaimba wao hakukuwa na ushindani, so ata ukiimba vibaya hakuna wakukushinda nisha nae.
Ndugu muwasilishaji.
Naomba nitofautiane na wewe kidogo, lakini pia nitoe elimu kidogo.
Sensa, sio utafiti unaoweza kutoa taharifa zote za kiuchumi na kijamii. Na kutokana na muda unaofanyika ni vigumu sana kutoa akisi ya maisha halisi ya mtanzania kwa kila nyanja.
Zipo tafiti nyingi...
We nae sasa uache ufala.
Ndo haya haha tunasema mazoea yakisenge, we mtu anakojoa ndani kwako unabaki kusema ndo binadamu.
Ebu Wacha ujinga uko
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Lengo la Value Retention Fee, halikuwa baya na maamuzi ya kuitoa yamefanyika kisiasa. Kwa sababu ebu fikiri mtu aliyesomeshwa na bodi miaka ya 1990's ambapo UDSM ada ilikua 20,00/=. Mtu huyo anakua kulipa deni hilo la ada mwaka 2020. Je ni sahihi, mtu huyu kuja kulipa deni la 20,000 baada ya...
Dah hili bandiko lako limebifanya niwaze na kuelewa mantiki yako. Tundu Lissu kama mgombea wa Urais Mara kadhaa kaonekana akisisitiza kwamba Tume ilipaswa kuwaongoza wateuliza katika ujazaji form lakini pia anasisitiza huruma ingetendeka.
Lakini hapo hapo yeye aliongozo kuwawekea wagombea wa...
Watanzania tunaangamia kwa kukosa maharifa. Wapi imeandikwa ukiwa mfanyakazi wa private huruhusiwi kujua waraka na sheria za utumishi wa umma.
Afu unaniuliza swali la kitoto eti nliziona wapi.? Serious niseme nliziona wapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.