Recent content by Von Dee

  1. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Ujanja wa Sokoni Dar

    Anaeibiwa apo nae anaiba kwenye eneo lake la kazi.. mjini ni kuviziana tu karibu kila mtu mwizi
  2. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Tangu mwaka 2026 uingie, umefanya lipi la maana?

    Sasa kumpenda mke wako ndio mafanikio? 😂😂 Be a man bro😀
  3. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Tangu mwaka 2026 uingie, umefanya lipi la maana?

    Hayo sio mafanikio mzee 😂😂 Usiniulize kwanini
  4. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Kila mwenye Iman aombe kwa ajiri ya Taifa hili😭😭

    Na anaitwa "Mheshimiwa" 😂😂😂
  5. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumsaidia Mtu kile Kidogo kabisa ulichonacho kisha baada ya kumsaidia akaingia Mitini hana Habari na Wewe unajua inauma Kiasi Gani?

    Sio lazima napengine hujui labda msaada ulompa haukumfikisha huko unakodhani wewe amefika.. Ukishasaidia part yako imeisha usisubiri shukrani wala fadhila.
  6. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumsaidia Mtu kile Kidogo kabisa ulichonacho kisha baada ya kumsaidia akaingia Mitini hana Habari na Wewe unajua inauma Kiasi Gani?

    Msaada sio deni kama uliutoa kwa moyo.. ila kama ulimkopesha sawa nenda kamdai.
  7. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Kizungumkuti barabarani! Ving'ora vitatu

    Eti wiieew krooo krooo... 😂😂😂😂
  8. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Tarehe yako ya kuzaliwa na maana yake

    Hapo kwenye tarehe 24 kama nmekuelewa ivi 🌝
  9. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Mrisho Mpoto: Suala la watu kupotea au kutekwa ni la kiusalama, inamuhusishaje Rais

    Anachoulizwa ndo anakifanya apoapo 🤔
  10. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Biblia ndio Chuo Pekee Duniani unachoweza kujifunza Upendo, Amani, Furaha na Uvumilivu

    Ahaa kwa hiyo tukishasoma Biblia turudi Harvard 🤔
  11. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Biblia ndio Chuo Pekee Duniani unachoweza kujifunza Upendo, Amani, Furaha na Uvumilivu

    Kwa hiyo tusiende tena Harvard😁
  12. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Mbona wachina wanavuta Sana sigara ila hawapati Sana madhara kama kansa kama watu wengine

    Wao wanavuta kama starehe/jadi yao ila kwetu wanavuta kupunguza mawazo/kujifariji kutokana na hali za kimaisha Au wengine wanavuta kufata mkumbo tu😎
  13. Von Dee

    JamiiForums Tanzania Yanga wasema mchango wa Milioni 100 kwa CCM ulitolewa na GSM Foundation, Sio Fedha za Klabu

    Ukiona hadi wametoa ufafanuzi ujue wameona kabisa Raia wao hawajaridhishwa na kitendo walichofanya.
Back
Top Bottom