Kwenye taarifa ya habari ya ITV unakuta hata sura ya mtangazaji haionekani vizur kabisaa😁 sielewagi kama shida ni camera wanazotumia au ni quality mbovu ya picha ya TV yangu😆😆
Kuna mchumbaangu enzi za miaka ya 2016/2017 alikuwa anaitwa Amina ila nkawa namwita Minah ili kuleta uzungu kidogo alafu yeye ananiita Dee..
Kwahiyo likazuka jina la "kapo" yetu "Minah Von Dee" 😎
Tulivyoachana nikabaki na hiyo "VON DEE" ye akaenda 😁😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.