Recent content by Von Dee

  1. Von Dee

    Umeshawahi kumsaidia Mtu kile Kidogo kabisa ulichonacho kisha baada ya kumsaidia akaingia Mitini hana Habari na Wewe unajua inauma Kiasi Gani?

    Sio lazima napengine hujui labda msaada ulompa haukumfikisha huko unakodhani wewe amefika.. Ukishasaidia part yako imeisha usisubiri shukrani wala fadhila.
  2. Von Dee

    Kizungumkuti barabarani! Ving'ora vitatu

    Eti wiieew krooo krooo... 😂😂😂😂
  3. Von Dee

    Tarehe yako ya kuzaliwa na maana yake

    Hapo kwenye tarehe 24 kama nmekuelewa ivi 🌝
  4. Von Dee

    Mrisho Mpoto: Suala la watu kupotea au kutekwa ni la kiusalama, inamuhusishaje Rais

    Anachoulizwa ndo anakifanya apoapo 🤔
  5. Von Dee

    Biblia ndio Chuo Pekee Duniani unachoweza kujifunza Upendo, Amani, Furaha na Uvumilivu

    Ahaa kwa hiyo tukishasoma Biblia turudi Harvard 🤔
  6. Von Dee

    Mbona wachina wanavuta Sana sigara ila hawapati Sana madhara kama kansa kama watu wengine

    Wao wanavuta kama starehe/jadi yao ila kwetu wanavuta kupunguza mawazo/kujifariji kutokana na hali za kimaisha Au wengine wanavuta kufata mkumbo tu😎
  7. Von Dee

    Yanga wasema mchango wa Milioni 100 kwa CCM ulitolewa na GSM Foundation, Sio Fedha za Klabu

    Ukiona hadi wametoa ufafanuzi ujue wameona kabisa Raia wao hawajaridhishwa na kitendo walichofanya.
  8. Von Dee

    Hatimaye pikipiki yangu niliyonunua wiki mbili zilizopita imenikanda.

    Dah pole sana mkuu.. ushapata leseni apo ya boda ko ukipona rudi road mkuu🙌
  9. Von Dee

    GE2025 Polepole acharuka: CCM yavunja Misingi, Haki yazimwa, Katiba ilichakachuliwa na Utekaji wazidi kutisha

    Yutubu bila VPN hutoboi na ukiingia kwenye channel zinazorusha live hakuna kitu kupo kimya tu.
  10. Von Dee

    Ni somo gani umejifunza katika maisha

    Acha mazoea.. Ishi kwa password 🙌
Back
Top Bottom