Recent content by voicer

  1. voicer

    Hivi wazee wa tonetone wamefikiria maisha yao ya Kisiasa baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025? Au ndio wanaomba tuu NoReNE bila kujitambua?

    Umeandika upumbavu mtupu! NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION
  2. voicer

    PreGE2025 John Heche achochea vurugu kwenye mikutano, wananchi wapokea kichapo na kuumizwa

    Wewe Wewe ni mojawapo ya ma-CCM mliopo nyuma ya huu ujinga wa kutuma wahuni kwenda kuvuruga mikutano ya CHADEMA. wewe ni m*wa Kokomo usiyejitambua,kafiri mkubwa pumbavu sanaaaa
  3. voicer

    Heko Watanzania kuipuuza kizalendo nonsense ya No reform no elections ground, field na kwenye mitandao ya kijamii

    NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION NO REFORMS NO ELECTION
  4. voicer

    Unakosea, Unakosea na nasema tena Unakosea wenye Akili hawashindani na 'System' Kibwege (Kipumbavu) hivi..shauri yako!!

    Ieleweke wazi kwamba hata wewe GENTAMYCINE ni sehemu ya wanufaika wa uozo unaoendelea nchini kwa sasa! Gwajima amekuwa mwana CCM wa kwanza kujitokeza na kumfunga Paka kengele! Toa ushauri badala ya kauli yako kujiona mjuaji zaidi,huku ukijificha nyuma ya Key-board . GWAJIMA ni shujaa wa kizazi...
  5. voicer

    UKOO: Hakuna Mgumu wa Kutoa Sauti, Hata Mmoja

    Mtu aliepaswa kusema,kutoa kauli yenye kukemea huu uozo ni Jakaya Kikwete....... Lakini kwa bahati mbaya ni kwamba yeye ndie kinara wa haya yoote! Yeye ndie mshauri wa Samia! JK ndie mzee mwandamizi kwenye vikao vya CCM. JK ndie anaongoza kwa remote maamuzi mengi kati ya haya tunayoyalalamikia...
  6. voicer

    PreGE2025 Nyuma ya Pazia: Gwajima kuandaliwa kuchangamsha uchaguzi mkuu 2025

    Na huu ndio upuuzi mkubwa wa watanzania,kwamba mtu anaongea ukweli,lakini kwa sababu tu yeye ni mwana CCM basi anaitaka uraisi. Je! Kwa nini usifikirie vinginevyo,kwamba yeye amejiongeza mapema ili kujitenga na mambo ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu. Bunge liko kikao chake cha mwisho kabla ya...
  7. voicer

    Hivi kabla hujafa unatamani kutembelea nchi gani hapa duniani?

    Mimi ningependa kutembelea Mbinguni ili kufanya maandalizi ya maisha yangu ya Baadae! Amen 🙏!
  8. voicer

    PreGE2025 Tuzo za Samia Kalamu Awards Superdome Mawaziri washindana kutoa zawadi kwa washindi, mmoja apewa boti ya milioni 50

    Sisi tuna majonzi ya ndugu zetu wanaopotea kila uchao huku Tanganyika/Bara... Nyie endeleeni na sherehe zenu.Mungu ni wa wote!
  9. voicer

    Nchi imefika sehemu mbaya sana , ikiwa Jesca Magufuli atapewa ubunge basi hii nchi imeshakuwa ya familia

    Mleta hoja una upungufu wa uelewa kwenye mambo ya msingi kabisa.Wewe unaongozwa na ubinafsi uliojaa chuki moyoni.kila mtanzania anayo haki ya kugombea au kuteuliwa katika nafasi yoyote ile ilimradi awe anakidhi vigezo.Wewe taahira kama huna vigezo waache wenye vigezo waingie. Huwezi zuia nafasi...
  10. voicer

    Ulikuwa wapi kipindi ndege ya JWTZ inaanguka wakati wa kupokea wanajeshi waliotoka Uganda?

    Mimi nilikuwepo live siku hiyo hapo hapo uwanja wa Taifa .nilishuhudia zoezi likianza kwa kupitisha vifaeu na mizinga iliyotekwa toka Uganda na hiyo ilikuwa baada ya Gwaride la majeshi na chipukizi kumalizika. Ndipo zikafuatia Ndege na hatimae hiyo ajali kutokea.Mwalimu alipewa taarifa rasmi ya...
  11. voicer

    Kampuni ya Barick imeshindwa kulipa Wakandarasi, wazabuni na mafundi walitekeleza miradi ya ujenzi wa Madarasa, Mabweni na Vyoo katika shule t nchini

    Tatizo hapo litakuwa ni aina ya kiwango ambacho kimejengwa kwenye hiyo miradi. Tunaijua sifa kubwa ya wakandarasi wazawa nayo ni upigaji. Barrick kama wao....janja janja huwa haina nafasi.Halafu nikushairi ufuatilie huko kwa wahusika badala ya kuja huku kwa Maxence Mello!
  12. voicer

    Kumbe Mchungaji aliyefukuzwa uanachama wa CCM Kilimanjaro, alikuwa mgombea urais wa chama cha CCK

    Kuwa mwanachama wa chama kingine na k8sha kuhamia CCM hahalalishi yeye kutokupnga maamuzi ya ovyo
  13. voicer

    KANDA YA PWANI: Wenyeviti na Viongozi wengine wanaomuunga mkono Tundu Lissu nao wakutana na kutoa tamko lao la kumtaka Freeman Mbowe akalee wajukuu

    Yaani Mbowe akiachia ngazi basi chama kinapotea? Je! mnataka awe mwenyekiti akifa?
  14. voicer

    Azam Huwa anaamua kumwachia Simba ili kumwandalia ubingwa

    Umewaambia ukweli 100%
Back
Top Bottom