Recent content by Voice Of Tanganyika

  1. V

    Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

    Bado lolote linatokea hivi umewaza mzunguko ujao yanga na Al hilal wakasare na mazembe na alger wakasare pia ina mana game ya mwisho yanga akimfunga Alger Kwa mkapa anafuzu bila kujali matokeo ya mazembe na al hilal so hapo point 4 yanga zinauwezo wa kumbeba Hila point 6 ni uhakika zaidi sababu...
  2. V

    Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

    Si kweli yanga akishinda game zake anafuzu bila kujali matokeo ya mwegine yeyote
  3. V

    Kupatwa kwa walimu tena!

    Sasa huyu anatafuta nini mbona pesa ni hizo hizo tu
  4. V

    Mwanaume ukifika miaka 30 hakikisha una moja kati ya hivi

    Kwenye maisha akuna kuchelewa Wala Kuwait kikubwa uzima
  5. V

    KERO Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, uwepo ufumbuzi wa changamoto hizi wanazopata waombaji wa ajira kupitia mfumo wa 'Ajira Portal'

    Ndugu zangu kwa manufaa ya wapambanaji wote. Mimi sio mzuri wa lugha kwahiyo kwenye mapungufu tuvumiliane zaidi naamini ujumbe utaeleweka . Leo nimeamua kushare hili suala na watanzania wezangu na naamini pia wenye mamlaka watalipitia hapa na ufumbuzi utapatikana kwa haraka zaidi kuondoa...
  6. V

    Double Standard: Kwa mwaka huohuo mmoja wa kalenda, Sherehe za Mapinduzi Zanzibar sawa, ila Sherehe za Uhuru wa Tanganyika hapana

    Wazanzibari wabinafsi sana tumefanya makosa makubwa sana kukabidhi nchi kwa chura wa kizanzibari na bado tutaisoma
  7. V

    Rukwa: Wanafunzi waliofukuzwa shule kisa wazazi wao kuwa CHADEMA, warudishwa shuleni

    Jumba bovu anaangushiwa mwalimu hapo lakini kiuhalisia hayo ni maelekezo kutoka kwa Samia chura kiziwi wa zenji
  8. V

    Zanzibar waheshimiwe

    Tunataka Tanganyika yetu
  9. V

    Simba ni kubwa kuliko Kibu

    Acheni longo longo mpeni pesa anayotaka . Mtoto wa watu kazi anaipiga sana
Back
Top Bottom