Recent content by VOICE OF LAKE ZONE

  1. V

    Natafuta mwanamke mwaminifu mkarimu with commitment wa kuolewa

    Am 29 years old with honest and bachelor degree+ CPA am working in a good company as Financial Accountant in really am looking a commitment girly who will show commitment to me and create a good family . Please any body interest check me on PM Note : Am interest with commitment...
  2. V

    Majibu ya Mnyika kwa Zitto ya Ubunge Ubungo 2010

    Mtaongea hadi mtachoka Mnyinka ni kamanda ambaye hata sisi ccm tunamkubali sana .Nyie ACT muulizeni Nzito pesa ya kuendesha mikutano anatoa wap? Naamini kabisa jimbo la ubungo hata sisi ccm tunapata shida kumtoa Mnyika tutumie njia gani sebuse na Nzito mnafiki mkubwa mnashabikia hamjui...
  3. V

    Majibu ya Mnyika kwa Zitto ya Ubunge Ubungo 2010

    Mnyika endelea kuchapa kazi watanzania wanajua ubora wako na utumishi katika bunge la Taifa mie ni kada wa ccm jimbo la ubungo lakini kwa umakini wetu tunajua mchango wako katika utungaji wa sheria za Tanzania. Niseme pia vibaraka vya Nzito havina lolote vinafata upepo na viulizeni kama...
  4. V

    Msaada: NHIF Hospital yenye Eurologist

    Kuna Dr. mmoja anaitwa Yongolo yupo Tumaini Hospital specealist kwa njia ya mkojo no.0784644445 jaribu kumpigia uonane naye
  5. V

    Kuvimba kwa korondani moja na matibabu yake

    Kaka Delzzy nashukuru sana kwa ushauri wako lkn naweza kupata daktari specialist
  6. V

    Kuvimba kwa korondani moja na matibabu yake

    Limevimba moja kubwa moja dogo
  7. V

    Kuvimba kwa korondani moja na matibabu yake

    Wakuu tunapenda kujua madakitari wa Wanaume wa kutibu magonjwa kama hayo, Kuna Ndugu yangu anasumbulia na hilo tatizo naombeni masaada wakuu humu ndani
  8. V

    Natafuta mchumba

    kweli upo tayari na committed nitakucheki PM
  9. V

    Natafuta Boyfriend ambaye atakuwa mume baadae

    Hi Kim K Unakaaa wapi na upo siliance kweli
  10. V

    Natafuta mume,umri kati ya 37-42

    Pole sana Dada Unafamilia lakni Nipo tayari nitakucheki PM
Back
Top Bottom