Hivi majaliwa anadhani hatujui jinsi wizarani wanavyogawana posho kwa kikao cha do 30 tu watu wanapeana bahasha za kaki zenye malaki ya pesa. Hao wakuu najua walikuwa wanashinikizwa na huyo Afsa Elimu.
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha, bwana mmoja kutoka mtaa wa Nyahanga wilayani kahama amegoma kutia saini ili mke wake aliyelazwa ktk Hospital ya wilaya kahama aweze kufanyiwa upasuaji, kisa, Bwana huyo amesema hataki mwanaye azaliwe siku ambayo CCM ilizaliwa, amedai CCM inachukiwa...
Hii jeuri ya Jk kumsema hivyo Lowassa basi alishajua 2015 Dr. Slaa anaenda Ikulu, vinginevyo angekuwa na uhakika Kuwa kamati kuu itampitisha Lowassa ili aende Tatu bora Kwaajiri ya kupigiwa kura na wajumbe NEC Taifa basi asingemkejeli hivyo coz kisasi cha Jamaa (EL), kingemmaliza Jk kweny ulingo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.