Pole, nimechelewa Sana kuiona post yako. Nipo Dar es salaam, kariakoo zimejaa. Kampuni wanayosambaza siijui. Ila kama Una MTU muaagize akuchukulie
Sent from my MI 8 Lite using JamiiForums mobile app
Habari!
Natafuta shamba la kukodi katika mkoa wa pwani sizizo pungua ekari 10.
Sifa za shamba:
1. Liwe karibu na chanzo cha maji ya uhakika, Kwa kipindi chote cha mwaka.
2. Shamba lisijae maji hasa kipindi cha vuli. Litakuwa Bora Kama na masika halitojaa.
3. Lisiwe mbali Sana kutoka Barabara...
Habari wanajamvi nimeona tangazo kutoka BODI YA MKONGE TANZANIA wakitoa taarifa ya kuwa wanakodisha mashamba ya MKONGE Kwa wanachi wanaohitaji.
TANGAZO LA KUKARIBISHA MAOMBI YA MASHAMBA YA KULIMA MKONGE
1.0 Utangulizi
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) inaendelea kupokea maombi ya mashamba...
Kama yanapasuka Kwa sababu ya maji kuwa mengi ( mvua). Kuwa na utaratibu wa kupulizia OMEX Cal Max. Kazi yake ni kufanya ngozi ya juu ya tikiti kuwa nguma na kuhimili wingi WA maji. Na kuzui kupasuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.