Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 643
Habari Jf,
Uzi huu, utakua ni uzi maalum kwa watu wanaohitaji kuagiza magari, ama wenye malengo ya kuagiza magari bila kujali sasa au baadae.
Hapa, ninakaribisha maswali yatakayo husika na
(i). Gharama za uagizaji (manunuzi) ya gari
(ii). Gharama za ushuru (Tra) bandarini, n.k
Kwa kifupi mchanganuo mzima wa gharama zote utakazo takiwa gharamia mpaka gari lako kuwa mikononi mwako.
Nimeweka huu uzi, baada ya kuona threads ni nyingi zenye maudhui ya maswali yanayohusiana na ushuru n.k.
Nawasilisha.
Kazi iendelee
Uzi huu, utakua ni uzi maalum kwa watu wanaohitaji kuagiza magari, ama wenye malengo ya kuagiza magari bila kujali sasa au baadae.
Hapa, ninakaribisha maswali yatakayo husika na
(i). Gharama za uagizaji (manunuzi) ya gari
(ii). Gharama za ushuru (Tra) bandarini, n.k
Kwa kifupi mchanganuo mzima wa gharama zote utakazo takiwa gharamia mpaka gari lako kuwa mikononi mwako.
Nimeweka huu uzi, baada ya kuona threads ni nyingi zenye maudhui ya maswali yanayohusiana na ushuru n.k.
Nawasilisha.
Kazi iendelee