Hata ukiunda huo mfumo. unampatia nani kwa mazingira haya mtu anachukuliwa mchana kwa basi . ..haki haipo katika taifa hili bado kuna kazi ya kufanyika .
Huu uzi ungekuja nao mapema kabla ya uchaguzi .. ingesaidia sana. . pia unavyoongea unaonekana umebase upande flani .. ila unajaribu kushow uko neutral
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.