Recent content by Vking3 Bendera ya Tz

  1. Vking3 Bendera ya Tz

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mm ninaking'amuz chenu kinafanya kaz vzur lakn sijajua option au setting za kuruhusu pen drive/flash disk kufanya kaz
  2. Vking3 Bendera ya Tz

    Kikatiba hakuna dini ya kikristo

    Huo ni ukwel unaoujua ww lakn sio kikatiba katiba inachojua hizo n din na si madheheb kama unavyosema
  3. Vking3 Bendera ya Tz

    Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

    Nakuunga mkono sana mkuu lakn pia muhim na fikra zetu kuziokoa tukiwa na akil tena ya pamoja hakuna mtu anaeza kutuonea wala kufanya anachojiskia awe mzawa yey kam kiongoz au mgen kama taifa kubwa kwahiyo tunavyoangalia mabadiliko ya katba muhim kuangalia na mabadiliko ya akili zetu maana sis...
  4. Vking3 Bendera ya Tz

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Bhana Tanesco mbeya wamebadil kaz badala ya kufanya umeme upatkane wao wameamua kufanya kaz ya kukatata umeme usipatikane tena bila taarifa kila siku lazma umeme ukate shda nn hatupew taarifa sijui hii mnatusaidiaje
  5. Vking3 Bendera ya Tz

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Kwanza mataifa yanatofautiana sera na katba sheria na kanuni lakn pili tayar yale n mataifa ambayo tunasema yanauchumi mkubwa yalishaendelea tayar inakua sio tatizo kuweka kila kitu waz lakn kwa nchi zetu za Africa nying n ngum kidgo kuweka waz kwasabab ndo zinaendelea inaweza kua shida kdgo...
  6. Vking3 Bendera ya Tz

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Mshahara wa rais n sir nzito na hiyo bajet mara nyingi haiwez kuwekwa waz kwasabab yey ndye amiri jesh mkuu na ndo kiongoz wa Tiss kama bajet ya Tiss tu wa kawaida haiwekwi waz wanawezaje wakaweka ya kiongoz wao n ngum sana kuijua labda upate taarifa kwa watu wa ikulu na viongoz wakubwa au kwake...
Back
Top Bottom