Jambo lingine ni elimu kwa umma, Wa TZ wengi hawajui umuhimu wa kutembelea mbuga zetu za wanyama na gharama za utalii kwa wazawa zipunguzwe ili kuwavutia Watanzania wengi kutembelea vivutio hivi.
Kuna wakati nilisikia Benki moja nchini ikitangaza kwamba imeandaa safari za wafanyabiashara kwenda...
Jamani mimi nashindwa kabisa kuficha hisa zangu chungu hadi wakati mwingine machozi hunitoka kila nisikiapo habari za hawa mabinti wa huko Naijeria waliotekwa nyara na boko haram.
Sijui wenzangu, lakini tukio hili kila ninapolisikia likisimuliwa kwenye vyombo vya habari au mahali pangu pa kazi...
Shikamoo The Boss
Hivi wanatengenezwa ndoani au kunako mchakato, wengine mwanzoni tu unaona hawabebeki.
Au ndiyo ile ya kujia moyo kwamba atabadilika, lakini kuna msemo kwamba tabia haina dawa
Unasemaje hapo?
Hiyo point ya 4 huwa inanikatisha tamaa kwa kweli
Kwa hali hii ya maradhi halafu unaambiwa kwamba hakuna mwanaume asiyechepuka, ivi nitaja olewa kweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.