Recent content by vivian2

  1. V

    Waziri Mpina, ubunifu wa NEMC unaishia kupiga fine viwanda?

    Mmmh hebu tujiulize, ubunifu wa mahakama unaishia kufunga wakosaji?, ubunifu wa TRA unaishia kuwakamata wasiolipa kodi? na ubunifu wa trafiki unaishia kuwakamata ma kuwatoza faini wanaokiuka sheria za usalama barabarani? tuwe wakweli. Sheria inasemaje? viwanda vingi vimeishapewa maonyo...
  2. V

    Prof. Tibaijuka asafishwa baada ya kupita kura ya maoni, ona wananchi wake walivyo!!!

    ukweli utabakia ukweli fitina tuache huyu mama anaweza
  3. V

    Prof. Tibaijuka adhalilishwa mkutano wa kampeni za maoni CCM, Mkutano wavunjika

    kwani nshamba ndio muleba kusini yote mbona kawaida
  4. V

    Lukuvi ageuka "lulu" Bungeni leo

    miezi sita mmmh siasa za uchaguzi
  5. V

    Tibaijuka azomewa mbele ya Kinana Muleba, adai hana njaa, kama ni hela anayo!

    da hiyo ni ccm nshamba ndio anakotoka masilingi ila siasa iko hivo
  6. V

    Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow

    tuache kudanganya watu juhudi za mtu ziheshimike tutabaki kupiga porojo tu wanaoweza wanaendelea
  7. V

    Mtoto wa Jaji Joseph Sinde Warioba ajiunga ACT-Wazalendo

    kwani shida ni nini, makongoro nyerere alishawahi kufanya hivyo!
  8. V

    Kama tunavyomkataa yule nawe tunakukataa hivyo hivyo!

    inabidi tuwe makini katika kufanya uchambuzi wa taarifa la sivyo ni upotoshaji tu
  9. V

    Sefue: Tumemaliza kumchunguza Maswi

    itoke haraka
Back
Top Bottom